mkuu sallaaam,wandugu naomba kuuliza bei ya mabati ya kawaida na yale magumu ya south na gharama ya kuezeka nyumba ya square meter 100 inaweza tumia mabati kiasi gani nawasilisha
maishapopote,
kwa nini umwambie akuPM? Why not posting it here for the benefit of everyone as there are many people that will benefit for the info you have in possession.
weka ramani hapa kaka ama nitumie ramani kupitia samorahyera@yahoo.com nitakufanyia makadirio
Mkuu usianike email address yako........inaweza kuleta tabu.....mwabie aku PM
Kwanza kabisa mbali na materials ina bidi wewe mwenyewe usimamie maana ndugu watakupiga kuanzia material na labour. Kama bati la kawaida nenda Nyerere rd opposite na Radio Tz kuna jamaa agent wa Aluminium bati chapa simba haipati kutu bati moja 20,000 la kwa bunddle la 12pcs unalipa 220,000 uki- bargain unanunua kwa 200,000. Mbao Buguruni kona pale wanauza bei nzuri wanakupa na usafiri kutegemea na mzigo.
Kazi kwako.
Mkuu hao jamaa wa mbao wanauzaje kwa running feet ya treated timber ya mninga au mti mwingine imara? Asante.
Mwezi uliopita wanauza sh 600 unaweza kupatanisha wanauza hadi sh580 hizi ni 4 x 2. Ziko treated na wakati wa kunapima ubao hadi ubao gharama ya kuyasogeza ni juu yao. Wewe unakuwa nakidaftari una record basi. Watapeleka mashine kupasua kama ni 4 x 4 na kama si sikosei walini charge sh 100 au sh150 kila njia moja. Watapakia ukimaliza kuhesabu na wanakupelekea. Unaweza wapa hela kidogo ya kushushia ili wakupangie vizuri. Vizuri uwepo au uwe na mtu unayemuamini sana maana wataku fisadi kwenye futi, idadi na bei.
Waya za kufungua kenchi shs2500.
Kama bati za kawaida futi 6 zinakuwa 12 bunddle moja, futi 5 zinakuwa 14pcs kwa bunddle. Misumari ya aina yote (Size) sh 2500 kwa kilo. Cement ilikuwa 12500 lakini bei imeongezwa na serikali sasa ni 13500, Lori kubwa la mchanga 130,000, Lori la kokoto kubwa sh 300,000, Madirisha ya aluminium material ya Dubai na USA dirisha la 5 x 4 na kioo cha 5mm one way sh 250,000. yale madogo ya vyooni sh 50,000. Ila uwe makini maana wanaweza kukuchomekea frame zinazochunika kwa urahisi so uwe na mtu anayezijua.
Kila la kheri.
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo yako mazuri na nitayafanyia kazi. Vipi bei ya treated timber za 2x2 na 2x3 kwa running feet?
Kwamba ulijaza details za uongo wakati wa kucreate account? Wajanja tunakupata,labda usi.reply. Uki.reply e-mail yangu nitakuanika hadharani.hawawezi kunipata kaka kwa hiyo email
Sijawaelewa watu gani hao hawawezi kukupata?kwani wakikupata kuna shida gani?hawawezi kunipata kaka kwa hiyo email
Mwezi uliopita wanauza sh 600 unaweza kupatanisha wanauza hadi sh580 hizi ni 4 x 2. Ziko treated na wakati wa kunapima ubao hadi ubao gharama ya kuyasogeza ni juu yao. Wewe unakuwa nakidaftari una record basi. Watapeleka mashine kupasua kama ni 4 x 4 na kama si sikosei walini charge sh 100 au sh150 kila njia moja. Watapakia ukimaliza kuhesabu na wanakupelekea. Unaweza wapa hela kidogo ya kushushia ili wakupangie vizuri. Vizuri uwepo au uwe na mtu unayemuamini sana maana wataku fisadi kwenye futi, idadi na bei.
Waya za kufungua kenchi shs2500.
Kama bati za kawaida futi 6 zinakuwa 12 bunddle moja, futi 5 zinakuwa 14pcs kwa bunddle. Misumari ya aina yote (Size) sh 2500 kwa kilo. Cement ilikuwa 12500 lakini bei imeongezwa na serikali sasa ni 13500, Lori kubwa la mchanga 130,000, Lori la kokoto kubwa sh 300,000, Madirisha ya aluminium material ya Dubai na USA dirisha la 5 x 4 na kioo cha 5mm one way sh 250,000. yale madogo ya vyooni sh 50,000. Ila uwe makini maana wanaweza kukuchomekea frame zinazochunika kwa urahisi so uwe na mtu anayezijua.
Kila la kheri.
mwezi uliopita wanauza sh 600 unaweza kupatanisha wanauza hadi sh580 hizi ni 4 x 2. Ziko treated na wakati wa kunapima ubao hadi ubao gharama ya kuyasogeza ni juu yao. Wewe unakuwa nakidaftari una record basi. Watapeleka mashine kupasua kama ni 4 x 4 na kama si sikosei walini charge sh 100 au sh150 kila njia moja. Watapakia ukimaliza kuhesabu na wanakupelekea. Unaweza wapa hela kidogo ya kushushia ili wakupangie vizuri. Vizuri uwepo au uwe na mtu unayemuamini sana maana wataku fisadi kwenye futi, idadi na bei.
Waya za kufungua kenchi shs2500.
Kama bati za kawaida futi 6 zinakuwa 12 bunddle moja, futi 5 zinakuwa 14pcs kwa bunddle. Misumari ya aina yote (size) sh 2500 kwa kilo. Cement ilikuwa 12500 lakini bei imeongezwa na serikali sasa ni 13500, lori kubwa la mchanga 130,000, lori la kokoto kubwa sh 300,000, madirisha ya aluminium material ya dubai na usa dirisha la 5 x 4 na kioo cha 5mm one way sh 250,000. Yale madogo ya vyooni sh 50,000. Ila uwe makini maana wanaweza kukuchomekea frame zinazochunika kwa urahisi so uwe na mtu anayezijua.
Kila la kheri.
Kwanza kabisa mbali na materials ina bidi wewe mwenyewe usimamie maana ndugu watakupiga kuanzia material na labour. Kama bati la kawaida nenda Nyerere rd opposite na Radio Tz kuna jamaa agent wa Aluminium bati chapa simba haipati kutu bati moja 20,000 la kwa bunddle la 12pcs unalipa 220,000 uki- bargain unanunua kwa 200,000. Mbao Buguruni kona pale wanauza bei nzuri wanakupa na usafiri kutegemea na mzigo.
Kazi kwako.