Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
- Thread starter
- #21
Mwenzio nafua mwaka wa saba huu ndani ya NDOA wala hatubagui yeye akizikuta chafu anafua mie nikija nikizikuta chafu mzee najituma kama kawa, wala usikariri mapenzi au kanuni za mababu mfurahishe mwenziooo
Mkuu Chimunguru thanks, ila navaa gloves naanza sasa hivi, kumbe ni kawaida sana kufua chupi za mkeo/GF aisee, baadae nitatumia mikono bila
gloves, ila GF akiwepo nitajitahidi nisivae gloves bana