GF anataka NIMFULIE CHUPI yake, mmmmhhhh.....!!!!!!!!

kaka yangu kama chumvini unaenda thez no big deal abt undy.. Mara moja moja
 
ila wakuu tukubaliane hizo chupi hata kama utavaa zisiwe Bikini au G-string, huwezi vaa hizi maana uume na korodani zitakaa wapi? fikiri halafu jengea picha kichwani itakuwaje.
 
unajua that time uko hoooooooooooot wala no discussion ni kula kila kitu, baada ya malavida ukiambiwa kitu huwa tuna discuss kwanza haya ndio madhara

hahaha sawa mkuu nimekupata ila kwa GF sijajua mko serious kiasi gani lkn km ni wife fua tuu wala usiogope lkn GF bana tena hawa wa siku hizi dah, lkn km mpo engaged na mnatarajia kuishi wote ndo sehemuza kupatia POINTS hizo mkuu
 
Fua fua kaka , mbona ni jambo la kawaida kabisa, wa usihofu kuwa utaonekana bushoke, mapenzi ni ya wawili kaka,
 
Kaka cha muhimu mambo ya ndani ni kushirikiana nae tu vitu kama hivyo fua tu nani atajua? hiyo ya kuvaa unaweza chagua zinazo weza bikin muachie yeye
ila wakuu tukubaliane hizo chupi hata kama utavaa zisiwe Bikini au G-string, huwezi vaa hizi maana uume na korodani zitakaa wapi? fikiri halafu jengea picha kichwani itakuwaje.
 
Fua fua kaka , mbona ni jambo la kawaida kabisa, wa usihofu kuwa utaonekana bushoke, mapenzi ni ya wawili kaka,

kweli, ukweli uko wazi mkuu, leo, leo jioni naanza mbele yake with great confidence, ila la kuvaa na kutinga kazini na chupi yake sasa hii si mapenzi
is like utumwa bana hapa bado sujapata ushawishi
 
Kaka cha muhimu mambo ya ndani ni kushirikiana nae tu vitu kama hivyo fua tu nani atajua? hiyo ya kuvaa unaweza chagua zinazo weza bikin muachie yeye

eeehh jamani leo mtanibadilisha kabisa mawazo, nimekubali kufua sasa, ila nianze kujifunza kuvaa you mean? Ooooh God you made a woman
to help a man but now a woman ananiambia nifue chupi yake, nimekubali, sasa natakiwa nivae chupi yake, God answer me, i am lost somewhere with
this woman u bring to me?, hatanigeuza siku moja kweli mm kuwa mke wake? mmmmmmmhhh
 
Kaka wewe fanya mambo ambayo yataweza kukujengea upendo ndani ya nyumba yako .....
kweli, ukweli uko wazi mkuu, leo, leo jioni naanza mbele yake with great confidence, ila la kuvaa na kutinga kazini na chupi yake sasa hii si mapenzi
is like utumwa bana hapa bado sujapata ushawishi
 
Mwanaume kujituma bana usipofua wenzako watakuja kufua then utaanza kujilaumu.Mara moja moja haikatazwi
 
i will mara moja moja thanks, hii ya kuvaa eeeeeeeeehh.........tutaambiwa mwishoe tuvae shanga kiunoni, bra etc
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help

duh kazi yangu hiyo
we wasubiri nini tena
fua mwana ina maana yake
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help

mhh madogo lakini mazito,
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help

Mie sioni tatizo na wala haikupunguzii uanaume wako. Si kitu cha ajabu ni moja ya vitu vya kuonyesha mapenzi yako kwake. Hongera kwa kumfulia chupi yake :thumb:
 
kiongozi naomba ujiskie amani kabisa kufua chupi ya mpenzi wako,ni mambo ya kawaida sana wala usisubiri tena kuombwa ni sehemu ya mapenzi,hata mkiwa bafuni akiwa anafua unaweza kumnyang'anya ukaifua wewe,,atajiskia wa pekee sana.hilo la kuvaa chupi yake dah!najua wengi huwa wanataka iwe hivyo kwa ajili ya wivu ili ikitokea unataka kucheat ushindwe maana tayari umevaa chupi ya kike,,so kuvua mbele ya mtu ni noma,,,hahaha!
 
Back
Top Bottom