Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Safi tu baba mcharuko unarudi lini home? Toka undoke juzi bado tu uko na nyumba ndogo gest jamani, tumekumiss mcharuko analia kweli hakuoni.mama mcharuko vipi tena
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Hahaaa hiyo kali, yani mpaka mtu ananena kwa lugha we hufaii uwi ipo siku atanena kwa lugha wee anamaliza kwa kuzimia ndo utakoma. Anhaa kama unaMamushka nisamehe, mm najua kupika, kumshirikisha in my bussiness, kazi, on bed utakimbia nakwambia my GF huwa ananena lugha gani sijui, ila la kufua chupi silijui ndio najua sasa, vipi la kuvaa Mamushka? ila akiwa period wallaah sifui
Kwanza it is strictly prohibited kuanza mapenzi kabla hamjaoana. Mkioana kufuliana sio tatizo hata kidogo kwani ni sehemu ya mapenzi tu, unaonaje kinyaa kinyaa kufua chupi!!!!! mbona mengine mengi yana kinyaa lakini unayafanya zaidi ya hiyo chupi????????????Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
mfulie tu aisee... ni fleva zaidi na huwezi jua atajisikiaje, waweza pata the best christmas surprise ever
i would do that right away
manjonjo ktk mapenzi muhimu, ina raha yake tena ilibidi uichukue mwenyewe kabla hajakwamia kwani akivaa ulofua inaongeza mguso na hamu ya mavtu. Nanyi waume jifunze kuwa wabunifu kha! Fua tu ila isiwe mazoea bali suprise mara 1 moja
Fanya kile kitu roho inapenda! hii ni kutegana zaidi na wala sio mapenzi!