Nimeskia unaumwa and now uko hsp unacheki afya,pole sana jamani kama ni malaria,tumbo la ku kuhara,kichwa au chochote basi kishindwe na upate kuwa mzima tena na tena ili urudi jamvini,Get well figher!:A S thumbs_up:
Yup...sana tena.hivi upweke unaleta malaria sugu eeeh?
mwambieni dogo awe anakunywa kwa step
HAWEZI KUSHINDANA NA TANZANIA DISTILLARIES.........
aisee.... kama ni pombe basi pombe balaaaaaaaaNimeskia unaumwa and now uko hsp unacheki afya,pole sana jamani kama ni malaria,tumbo la ku kuhara,kichwa au chochote basi kishindwe na upate kuwa mzima tena na tena ili urudi jamvini,Get well figher!:A S thumbs_up: