Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!

Vipo vitu Nchi hii ukivifikiria hakika unaona wazi vinaaksi ujinga wetu na kwayo ndiposa Viongozi wetu huwa wanautumia uzwazwa wetu kutupiga.

Mfano hilo la gesi ya Mtwara, kwa mjibu wa Hayati Rais Magufuli Tanzania haina chake kwenye gesi yetu wenyewe na alitueleza bayana wajanja walishatupiga.
Suzy, angalau tarehe ya bandiko hili Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Humo nilisema
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza, mtu unaweza kupata wazimu, ukarukwa na akili, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanaoiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza ili kuvuna rasilimali hizo zitufaidie!.

Mpaka hapa tulipo, Tanzania tumesha ibiwa sana kwenye madini kutokana na mikataba mibovu ya kinyonyaji na mpaka sasa ninapoandika haya, bado tunaendelea kuibiwa kwa mikataba hiyo hiyo mibovu iliyoingiwa na wenzetu. Sasa Mwenyeenzi Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!, sijui nani katuloga!, maana na huku kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee! huku wenyewe na hawa makuwadi tunaowaita ni viongozi wetu, tukiangalia tuu kama mazuzu!. Nchi hatuna sera ya gesi, hatuna sheria ya gesi!, hatuna lolote tulijualo kuhusu uchumi wa gesi, lakini ndio bado tunashadadia kugawa vitalu vya gesi kama njugu!.

Hadi hapa ninapopandisha uzi huu, mwaka huu wa 2012, nchi yetu hatuna sera ya gesi wala sheria ya gesi lakini tumeingia mikataba 23 ya PSA ambayo in reality, we are getting almost nothing!, nil!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..

Sijui ni nani aliyetuloga!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
Chuma alibadili sheria na kuleta sheria mpya ya madini, sasa kila kinachochimbwa kwenye ardhi ya Tanzania, 16% ya net profit ni mali ya Watanzania kupitia free carried shares.
Hivyo sasa gesi ni yetu!.
P
 
Wooote mlio changia hapa ni Mamburula tupu!!!...kwa sababu hata Gas ikiachwa hapo miaka Million mbili hakuna mwenye akili za kuchimba hiyo Gas!! Mlikuwa wapi kabla ya wao kuja kuchimba???

Ok! mnaweza kuchimba mna vifaa!! haya mtaifanyia nini baada ya kuipata? mfano mkonge mlichukua mbona mashamba yameoza mnalishia mifugo tu bila aibu? mpaka sasa!.. Mara milk! iko wapi?

MUTEX,Mwatex. kiwanda cha nyuzi Tabora kunako limwa pamba kwenu huko viko wapi!......tena ulikosomea babaako akiwa afisa usalama

Anzia hukooo kwenu kanda ya ziwa! ulikokulia na kuyaona tangu ukiwa kinda mali za Umma zikiporwa mchana kweupeee usipafumbie macho! kwakuwa ni ndg zako kuna mapungufu meeengi...unarukia huku heee!

OK! km haitoshi jimbo lako weye paskal ulilowahi gombea lina kiwanda cha nyama za kopo leo ni mfu leo! hiyo gas ingetumika hukoo! lkn huna akili za kuvifufua umekalia uchochezi tuu!

kalamu ikitumika vibaya ni sumu kali sana itakayo kukula weye na wanao wooote! halafu ina tabia kwamba hatari yake inaanzaga na weye uliyeshika kiberiti!...kama Stan katabaro!! unamjua alipo?

Niliwahi kusema watanzaia sasa tumeamua ni mkuki gani utuchome! mkanishangilia sana! Paskali ulikuwa mmoja wao! acha undumila kuwili!....nimechukia sana!
 
Wooote mlio changia hapa ni Mamburula tupu!!!...kwa sababu hata Gas ikiachwa hapo miaka Million mbili hakuna mwenye akili za kuchimba hiyo Gas!! Mlikuwa wapi kabla ya wao kuja kuchimba???

Ok! mnaweza kuchimba mna vifaa!! haya mtaifanyia nini baada ya kuipata? mfano mkonge mlichukua mbona mashamba yameoza mnalishia mifugo tu bila aibu? mpaka sasa!.. Mara milk! iko wapi?

MUTEX,Mwatex. kiwanda cha nyuzi Tabora kunako limwa pamba kwenu huko viko wapi!......tena ulikosomea babaako akiwa afisa usalama

Anzia hukooo kwenu kanda ya ziwa! ulikokulia na kuyaona tangu ukiwa kinda mali za Umma zikiporwa mchana kweupeee usipafumbie macho! kwakuwa ni ndg zako kuna mapungufu meeengi...unarukia huku heee!

OK! km haitoshi jimbo lako weye paskal ulilowahi gombea lina kiwanda cha nyama za kopo leo ni mfu leo! hiyo gas ingetumika hukoo! lkn huna akili za kuvifufua umekalia uchochezi tuu!

kalamu ikitumika vibaya ni sumu kali sana itakayo kukula weye na wanao wooote! halafu ina tabia kwamba hatari yake inaanzaga na weye uliyeshika kiberiti!...kama Stan katabaro!! unamjua alipo?

Niliwahi kusema watanzaia sasa tumeamua ni mkuki gani utuchome! mkanishangilia sana! Paskali ulikuwa mmoja wao! acha undumila kuwili!....nimechukia sana!
Mkuu uko sas hiii wakt mwingine paskali ananikera anavyojifanya mwerevu kumbe Ni mweupe mnoo tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tuache unafiki Magufuli muda mwingine akiwatukana wastaafu wenu wala msilalamike na huwezi kusikia wakijibu kitu maana wanajua madudu waliyomwachia mwenzao
Yule alikuwa Mgonjwa wa akili!!!...….Rais kichaa kuwahi tokea ulimwenguni kichaa chake kilimtuma asisalimie Marais wenzake!!……..hata kusafiri tu aliogopa kuanguka na ndege! kiinge hajui yaaani......

Akaanza kukamata panya hovyo!!mfano kukamata kale kakijana kakihindi na mibunduki lukuki kalikosa nini?? kumpiga Tundu lisu Risasi zooote zile Rais ana akili kweli??...yule tundu lisu nikumuita tu unamwambia acha hizo!
 
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza, mtu unaweza kupata wazimu, ukarukwa na akili, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanaoiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza ili kuvuna rasilimali hizo zitufaidie!.

Mpaka hapa tulipo, Tanzania tumesha ibiwa sana kwenye madini kutokana na mikataba mibovu ya kinyonyaji na mpaka sasa ninapoandika haya, bado tunaendelea kuibiwa kwa mikataba hiyo hiyo mibovu iliyoingiwa na wenzetu. Sasa Mwenyeenzi Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!, sijui nani katuloga!, maana na huku kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee! huku wenyewe na hawa makuwadi tunaowaita ni viongozi wetu, tukiangalia tuu kama mazuzu!. Nchi hatuna sera ya gesi, hatuna sheria ya gesi!, hatuna lolote tulijualo kuhusu uchumi wa gesi, lakini ndio bado tunashadadia kugawa vitalu vya gesi kama njugu!.

Hadi hapa ninapopandisha uzi huu, mwaka huu wa 2012, nchi yetu hatuna sera ya gesi wala sheria ya gesi lakini tumeingia mikataba 23 ya PSA ambayo in reality, we are getting almost nothing!, nil!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..

MY TAKE!.
1. Kwa kukosekana sera na sheria ya gesi, kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu, its zero value, ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!. Huu ndio upuuzi tulioufanya kwenye madini, madini yote ni ya mwekezaji!, sisi tunalipwa mrahaba na kodi tuu za serikali!.

Bila ya sera na sheria, tuna haraka gani?. Baada ya mkataba wa Songas, tumeshindwa nini kuandaa sera na sheria kwanza ndipo tukaendelea kugawa vitalu vya utafutaji na uchimbaji wa gesi asilia?.

Wasiwasi wangu mkubwa ni kutokana na sisi kutokuwa na watu wanaitwa " the negotiator's" serikali yetu italeta negotiator's wazungu kutoka ulaya to negotiate on our behalf, hao negotiator's wa ulaya watashauri mtambo wa LNG ujengwe baharini ili kitu inayoitwa siphoning ifanyike!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya ambayo hawa viongozi wetu wametutendea kwa kutokujua kwetu anaweza kupandwa hasira na kuwamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania na kama wametangulia mbele ya haki, akawachapa bakora juu ya makaburi yao!.

Haya akinasisi tunayaona leo, tunayapigia kelele, huku wahusika wakuu wakijifanya kutia pamba masikioni, halafu akija kujitokeza kiongozi mzalendo kwa siku zijazo, akayaibua haya, Watanzania tutajifanya kushangaa na kuingia hasira kwa jinsi tunavyoibiwa!.

Baada ya kuipokea hii document, nilifanya personal initiative ya kuifungia safari hadi Bungeni Dodoma, nikaikabidi kwa baadhi ya wabunge, akiwemo Mwenyekiti wa POC, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe na Waziri Kivuli wa Madini, Mhe. JJ Mnyika, hebu tusikilizie if anything will be done about this, vinginevyo ni Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe, na wanaofanya tuibiwe ni hawa wenzetu tuliowaamini na kuwakabidhi nchi yetu hii!.

Sijui ni nani aliyetuloga!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
Unapo zungumzia gesi ni tofauti sana na mafuta katika swala zima la uhifadhi na usafirishaji.

Gesi ya Mtwara bado ipo zaidi itaanza kuzalishwa mpaka LNG plant itakapokua imejengwa.

Hii inayozalishwa sasa ni kiasi kidogo tu.

Karibuni kwa maswali sasa
Kwa ushauri kuhusu maswala ya gesi na mafuta pia karibuni.

Lakini pia kwa uhitaji wa kuandikiwa propozo za kuanzisha miradi ya vituo vya mafuta na kudizani ramani za vituo vya mafuta vidogo kwa vikubwa karibuni pia.

Mawasiliano: +255747744895
Mkuu Meneja Wa Makampuni,
asante sana kwa uzi huu elimishi
Ubarikiwe sana,
Karibu na pande hizi!.
P
 
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza, mtu unaweza kupata wazimu, ukarukwa na akili, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanaoiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza ili kuvuna rasilimali hizo zitufaidie!.

Baada ya kuipokea hii document, nilifanya personal initiative ya kuifungia safari hadi Bungeni Dodoma, nikaikabidi kwa baadhi ya wabunge, akiwemo Mwenyekiti wa POC, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe na Waziri Kivuli wa Madini, Mhe. JJ Mnyika, hebu tusikilizie if anything will be done about this, vinginevyo ni Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe, na wanaofanya tuibiwe ni hawa wenzetu tuliowaamini na kuwakabidhi nchi yetu hii!.

Sijui ni nani aliyetuloga!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
KWA MKATABA MBOVU WA Tanzania Liquefied Natural Gas Project KWA MIAKA 30 IJAYO HATUTAKUWA NA GESI TANZANIA."

Na, John Mnyika
Taarifa nilizonazo mimi siku tone la kwanza la Gesi hii iliyogeuzwa kuwa kimiminika litakapochukuliwa kwenda kuuzwa nje, utatumika huu utaratibu wa kuichukua na kuiuza kwa miaka 30 ambapo Gesi itakuwa imemalizika. Watu wananufaika kwa miaka 30 kwa mikataba yetu mibovu.

Mhe. John Mnyika
Katibu Mkuu Chadema
#NguvuYaKusini

Kusikiliza zaidi

Duh...!. Huu jameni sio uchochezi huu?.
Contents za mkataba bado hatujaambiwa!, wewe umeanza kulalamika tunaibiwa!. Mbona Waziri January Makamba hili ameliweka vizuri kabisa hapa , japo mkataba bado haijawekwa wazi, baadhi ya vionjo vya mkataba huo tumeisha anza kumegewa.
1. Mkataba huu utatumia sheria yetu mpya ya madini, hivyo Watanzania tutamiliki 16% shares ambazo zitamilimilikiwa na serikali kwa niaba ya Watanzania.
2. 10% ya gesi yote ya LNG, itatumika nchini!, this is huge amount of gas ni nyingi kuliko vigesi gesi vyote vinavyotumika nchini put together!.

Mwaka 2012, nilifunga safari hadi Bungeni Dodoma, nikamtafuta JJ. Mnyika na Zitto, nikawapa hii dossier iliyomo humu Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe! himo nilisema
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza, mtu unaweza kupata wazimu, ukarukwa na akili, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanaoiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza ili kuvuna rasilimali hizo zitufaidie!.

Baada ya kuipokea hii document, nilifanya personal initiative ya kuifungia safari hadi Bungeni Dodoma, nikaikabidi kwa baadhi ya wabunge, akiwemo Mwenyekiti wa POC, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe na Waziri Kivuli wa Madini, Mhe. JJ Mnyika, hebu tusikilizie if anything will be done about this, vinginevyo ni Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe, na wanaofanya tuibiwe ni hawa wenzetu tuliowaamini na kuwakabidhi nchi yetu hii!.

Sijui ni nani aliyetuloga!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
That was then, he did nothing!, they did nothing!.
Baada ya Watanzania kulia sana kuhusu kuibiwa rasilimali zetu kwa kufanywa shamba la bibi, hatimaye Mungu akasikia kilio chetu, hapa kati akatupatia mtu sahihi, akapindua meza, akabadili sheria yetu ya madini, gesi asili ikaingizwa kwenye madini chini ya extractive industry, sasa kwa mujibu wa sheria yetu, kitu chochote kinachochimbwa kutoka ardhi ya Tanzania, 16% stake ni mali ya Watanzania, and to be honest, this is a lot!. Maadam JJ.Mnyika, haujui mkataba una nini, then asubiri aone mkataba una nini na sio kuufanya huu uchochezi anaenda kuufanya mikoa ya Kusini!.

P
 
Suzy, angalau tarehe ya bandiko hili Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Humo nilisema

Chuma alibadili sheria na kuleta sheria mpya ya madini, sasa kila kinachochimbwa kwenye ardhi ya Tanzania, 16% ya gross ni mali ya Watanzania kupitia free carried shares.
Hivyo sasa gesi ni yetu!.
P
Nimekumbuka kipindi hicho ukiitwa PASCO hakika ulikuwa unaleta vitu nyeti kwa maslahi mapana ya Taifa, ila ulivyogeuka na kuitwa Pascal Mayalla mada zako za hivi zimepotea au zimekuwa adimu.

Wale wasiojua kusoma na kuandika tena wanaishi vijijini hakika wanafurahia maisha, taarifa kama hizi hawazijui wala hawafuatilii vitu vya kuimiza vichwa vinavyogusa maisha ya wengi. Wao wakilishwa propaganda wanajua mambo yako hivyo.
 
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza, mtu unaweza kupata wazimu, ukarukwa na akili, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanaoiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza ili kuvuna rasilimali hizo zitufaidie!.

Paskali
Cha kushangaza wewe mayala mwandishi wa makala hii ambae unaexposure na haya maswala Kila siku upo bize kuipigia debe ccm humu. I don't get it. Sikuelewi kabisa we mzee.
Mkuu crankshaft , huwa tunasaidia saidia kushauri...
P
 
Back
Top Bottom