Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa hewani na Clouds Radio mtangazaji Gerald Hando alikuwa akijipendekeza kwa JK na na CCM kwa kuwamwagia sifa kibao kwa miradi mbali mbali ya barabara zinazojengwa na kuwekwa mawe ya msingi hususan barabara ya Bagamoyo-Msata na mradi wa mabasi yanayoenda kasi.
Kilichonishangaza ni kitendo cha mtangazaji mwenye heshima kubwa kama yeye kujipendekeza kiasi kile ilhali ni wazi kuwa miradi kama hii ni "long overdue". Ilitakiwa Serikali amabyo iko makini kuwa na "urban master plan" kupima viwanja katika surburbs zote za majiji yote ya nchi hii (maeneo yaliyoko pembzoni mwa jiji) kujenga miundo mbinu kama vile barabara za lami ikiwemo "flyovers" ,mtandao wa maji safi na maji taka na mtandao wa nishati ya umeme kabla ya kuruhusu wananchi kuanza ujenzi wa makazi katika maeneo hayo na kuhamia huko.
Kitendo cha serikali ya CCm kushindwa kufanya hayo mapema ni udhaifu mkubwa na ndio unaopelekea majiji yote katika nchi hii kukubwa na msongamano wa magari, watu kukosa maji safi ya bomba ilihali nchi hii ina vyanzo mbali mbali vya maji ikiwemo mito, maziwa na maji yaliyo ardhini na watu kukosa nishati ya umeme ilihali nchi hii imejhaaliwa vyanzo mbalimbali vya nishati hiyo ikiwemo maporomoko ya mji. gesi, maka ya mawe, uranium na petroli.
Ni ajabu sana kuona mtangazaji mweny heshima kubwa najipendekeza katika kidogo kinachofanyika tena kutokana na msukumo wa wapinzani. Na kidogo hicho hakina uwianao na raslimali za nchi hii zinzoporwa. Ni dhahiri kuwa kama Serikali ya CCM na Mkapa na JK wangekuwa makini matatizo ya miundo mbinu ya barabara, maji safi ya na nishati ya umeme nchi nzima sasa yangekuwa historia katika utawala wa miaka 20 ya Mkapa na Jk
Ni kutokana na CCM na watawala kufahamu kuwa wapo wapumbavu kama akina Gerald Hando katika nafasi nyeti za uelimishaji wa umma ndio maana wanafanya sherehe kubwa za uwekaji majiwe ya msingi mapya kabla ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara ambayo ilikuwemo katika bajeti ya 2011/12 amabpo wizara ya ujenzi ilipatiwa 40% tu ya fedha ilizotengewa na wakandarasi wa miradi mbali mbali ya barabara kulazimika kusimamisha kazi hizo na kuidai Serikali fedha zaidi kuliko ilivyotarajiwa.
Kwa mtindo huu wa Serikali ya CCm na Jk kushindwa kufikisha fedha zilizotengwa kwa wizara husika tuna uhakika gani kuwa miradi hii inayowekewa mawe ya msingi sasa itakamilika ipasavyo? Ni kutokana na utaratibu huo ndio maana barabara ta Bagamoyo-Masata aliyoisifia Gerala Hando imefunguliwa pasipo kukamilika madaraja, haijawekewa alama za barabara na miundo mbinu mingine kuwezesha barabara kuweza kukabidhiwa.
Nilitegemea investigative reporter kama anavyojiita Gerald Hando kujiuliza na kutafiti iweje barabara hii ikafunguliwe kabala ya kukamilika badala ya kutupigia propaganda katika redio.
Nilitegemea mwandishi wa mwenye heshima kubwa kama Gerald Handio na kituo bora cha redio kama Clouds kiwaelimishe wananchi hususan vijana kinachojidai ndio wateja wake wakuu kuhusu athari za ufisadi wa kutumia fedha fedha za pensheni za uzeeni wa wafanyakazi kujenga barabara ya Kigamboni badala ya dhababu zetu za kiasi cha Bilioni 10 kwa wiki zinazooporwa na wazungu kwa ruhusa ya CCM
Kilichonishangaza ni kitendo cha mtangazaji mwenye heshima kubwa kama yeye kujipendekeza kiasi kile ilhali ni wazi kuwa miradi kama hii ni "long overdue". Ilitakiwa Serikali amabyo iko makini kuwa na "urban master plan" kupima viwanja katika surburbs zote za majiji yote ya nchi hii (maeneo yaliyoko pembzoni mwa jiji) kujenga miundo mbinu kama vile barabara za lami ikiwemo "flyovers" ,mtandao wa maji safi na maji taka na mtandao wa nishati ya umeme kabla ya kuruhusu wananchi kuanza ujenzi wa makazi katika maeneo hayo na kuhamia huko.
Kitendo cha serikali ya CCm kushindwa kufanya hayo mapema ni udhaifu mkubwa na ndio unaopelekea majiji yote katika nchi hii kukubwa na msongamano wa magari, watu kukosa maji safi ya bomba ilihali nchi hii ina vyanzo mbali mbali vya maji ikiwemo mito, maziwa na maji yaliyo ardhini na watu kukosa nishati ya umeme ilihali nchi hii imejhaaliwa vyanzo mbalimbali vya nishati hiyo ikiwemo maporomoko ya mji. gesi, maka ya mawe, uranium na petroli.
Ni ajabu sana kuona mtangazaji mweny heshima kubwa najipendekeza katika kidogo kinachofanyika tena kutokana na msukumo wa wapinzani. Na kidogo hicho hakina uwianao na raslimali za nchi hii zinzoporwa. Ni dhahiri kuwa kama Serikali ya CCM na Mkapa na JK wangekuwa makini matatizo ya miundo mbinu ya barabara, maji safi ya na nishati ya umeme nchi nzima sasa yangekuwa historia katika utawala wa miaka 20 ya Mkapa na Jk
Ni kutokana na CCM na watawala kufahamu kuwa wapo wapumbavu kama akina Gerald Hando katika nafasi nyeti za uelimishaji wa umma ndio maana wanafanya sherehe kubwa za uwekaji majiwe ya msingi mapya kabla ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara ambayo ilikuwemo katika bajeti ya 2011/12 amabpo wizara ya ujenzi ilipatiwa 40% tu ya fedha ilizotengewa na wakandarasi wa miradi mbali mbali ya barabara kulazimika kusimamisha kazi hizo na kuidai Serikali fedha zaidi kuliko ilivyotarajiwa.
Kwa mtindo huu wa Serikali ya CCm na Jk kushindwa kufikisha fedha zilizotengwa kwa wizara husika tuna uhakika gani kuwa miradi hii inayowekewa mawe ya msingi sasa itakamilika ipasavyo? Ni kutokana na utaratibu huo ndio maana barabara ta Bagamoyo-Masata aliyoisifia Gerala Hando imefunguliwa pasipo kukamilika madaraja, haijawekewa alama za barabara na miundo mbinu mingine kuwezesha barabara kuweza kukabidhiwa.
Nilitegemea investigative reporter kama anavyojiita Gerald Hando kujiuliza na kutafiti iweje barabara hii ikafunguliwe kabala ya kukamilika badala ya kutupigia propaganda katika redio.
Nilitegemea mwandishi wa mwenye heshima kubwa kama Gerald Handio na kituo bora cha redio kama Clouds kiwaelimishe wananchi hususan vijana kinachojidai ndio wateja wake wakuu kuhusu athari za ufisadi wa kutumia fedha fedha za pensheni za uzeeni wa wafanyakazi kujenga barabara ya Kigamboni badala ya dhababu zetu za kiasi cha Bilioni 10 kwa wiki zinazooporwa na wazungu kwa ruhusa ya CCM