George Frederick Mbowe hatunae tena, JK atuma salamu za rambirambi

Asante Lole, Chris na Glory ni ma age mate halafu nilikapendaga kabinti kake ka Apollonia ila sikuwahi kukaambia!.

Mzee huyu ni great man, alikuwa humble na down to earth!.

Rip George Mbowe!.

Pasco na wewe!

Nje ya uzi: Usiseme ka-Apollo, maana sasa anakimbilia kwenye late 30s. Halafu alikuwa anapenda sana watu wa Kanda ya Ziwa, so ungemwambia may be sasa hivi ungekuwa West.
 
Aiseee!! Jamani muwe mnaweka vizuri headings zenu,R.I.P mzee wetu.
 
Hata mkitoa RIP mia tano hazitasaidia kama maisha yake duniani hayajampendeza Mungu Yehova. Mungu ndiye anayejua amweke wapi, mnaweza kusema RIP kumbe mzee wetu anaungua kwenye moto wa jehanum. Au kuna watu labda aligombna nao siku chache kabla hajatwaliwa wanampigia mahesabu kuwa kaenda motoni kumbe marehemu aliomba toba na Mungu Yehova wa rehema akamsamehe saa chache kabla mauti haijamfika. Kikubwa hapa ni kumrudishia Mungu utukufu maana yeye ndiye aliyetoa na yeye ametwaa. Poleni wafiwa, na sisi tutayarishe maisha yetu tukingali tupo hai, tusimkosee Mungu Yehova tukategemea atazisikia RIP za wapendwa wetu. Utavuna ulichopanda
 
Hawa uhusiano rasmi zaidi ya kufanana majina, Kamanda Mbowe ni Mbowe ya Machame, huyu George ni Mbowe ya Songea!.
Kuna wakati Mzee Mbowe ( baba yake Freeman) alimuintroduce George Mbowe kwa wanae kuwa ni ndugu yake.
 
Condolences to Patrick and the family.

Wazee wa Upanga wanaondoka tu, mara Dr. Maro, Mara Mzee Galinoma, mara Mzee Mbowe.
 
Pasco na wewe!

Nje ya uzi: Usiseme ka-Apollo, maana sasa anakimbilia kwenye late 30s. Halafu alikuwa anapenda sana watu wa Kanda ya Ziwa, so ungemwambia may be sasa hivi ungekuwa West.
Masikini mimi, sikukaambia shauri ya inferiority ya maeneo tuliokuwa tunaishi, mimi nikiwa mtoto wa Msasani Mikoroshoni, Uwanja wa Magunia, nikisoma Tambaza hivyo watoto wa Upanga unawaonea tuu ndani ya mageti yao na kuishia ... kwa macho tuu!.

All and all poleni sana!.
 
Mkuu wangu huyu mzee ni Mnyakyusa kwa Kabila wana uhusianao na mzee Mbowe (baba yake Freeman) kivipi?
Mkandara,
Hatuwezi kujua kwa uhakika. Mnyakyusa gani mwenye jina la Mbowe? Ikawaje Mzee Aikaeli akamjulisha George kwa wanae kuwa ni ndugu yake? Labda ni akina Mbowe waliohamia Unyakyusani enzi hizo? Nilipokuwa mdogo pale Musoma alikuja mzee mmoja kutoka Uganda, akizungumza Kiganda. Baba akatuarifu kuwa yule alikuwa ni cousin wake aliyehamia Uganda miaka ya utotoni mwake. Haya mambo yapo.
 
Hata mkitoa RIP mia tano hazitasaidia kama maisha yake duniani hayajampendeza Mungu Yehova. Mungu ndiye anayejua amweke wapi, mnaweza kusema RIP kumbe mzee wetu anaungua kwenye moto wa jehanum. Au kuna watu labda aligombna nao siku chache kabla hajatwaliwa wanampigia mahesabu kuwa kaenda motoni kumbe marehemu aliomba toba na Mungu Yehova wa rehema akamsamehe saa chache kabla mauti haijamfika. Kikubwa hapa ni kumrudishia Mungu utukufu maana yeye ndiye aliyetoa na yeye ametwaa. Poleni wafiwa, na sisi tutayarishe maisha yetu tukingali tupo hai, tusimkosee Mungu Yehova tukategemea atazisikia RIP za wapendwa wetu. Utavuna ulichopanda

Tacky and tasteless.
 
Hata mkitoa RIP mia tano hazitasaidia kama maisha yake duniani hayajampendeza Mungu Yehova. Mungu ndiye anayejua amweke wapi, mnaweza kusema RIP kumbe mzee wetu anaungua kwenye moto wa jehanum. Au kuna watu labda aligombna nao siku chache kabla hajatwaliwa wanampigia mahesabu kuwa kaenda motoni kumbe marehemu aliomba toba na Mungu Yehova wa rehema akamsamehe saa chache kabla mauti haijamfika. Kikubwa hapa ni kumrudishia Mungu utukufu maana yeye ndiye aliyetoa na yeye ametwaa. Poleni wafiwa, na sisi tutayarishe maisha yetu tukingali tupo hai, tusimkosee Mungu Yehova tukategemea atazisikia RIP za wapendwa wetu. Utavuna ulichopanda

Mkuu Mzito Kabwela,

R.I.P. ni ombi, na sio hukumu. Ni Mungu pekee ndiye anaweza kutuhukumu kwa kuwa anayajua matendo yetu, mawazo yetu na nyendo zetu hata zile tunazozifanya tukiwa gizani.

Watu tunapotoa/sema R.I.P. ni kwamba tunamwomba Mungu ampe pumziko la amani. Siku zote binadam mwenye utu, hawezi kumwombea mwenzake mabaya, we always pray for the best kwa ajili ya wenzetu.
 
..R.I.P George Mbowe.

NB:

..Mzee huyu alikuwa mtumishi wa umma wa muda mrefu akiwa amefanya kazi na Mwalimu Nyerere,Raisi Mwinyi, pamoja na Raisi Mkapa.

..kama sijakosea miaka ya 60 na 70 alipewa jukumu la kusimamia zoezi la kutaifisha nyumba, na kuanzishwa kwa "msajili wa majumba". Zoezi hilo lilihusisha pia kuwafidia wale "walionyang'anywa" nyumba zao.

..miaka ya 80 nadhani alipata na misukosuko ktk kashfa ya meli ya "Lord" Rajpar. baada ya hapo naamini jina lake lilikuwa cleared na ndipo alipokwenda nje ya nchi kikazi.

..miaka ya 90 akaibuka na kuwa Mkurugenzi mwanzishilishi wa PSRC, chombo kilichosimamia uuzwaji wa mashirika ya umma na mali nyingine zilizotaifisha miaka ya 60!!!!!
 
Mkuu Mzito Kabwela,

R.I.P. ni ombi, na sio hukumu. Ni Mungu pekee ndiye anaweza kutuhukumu kwa kuwa anayajua matendo yetu, mawazo yetu na nyendo zetu hata zile tunazozifanya tukiwa gizani.

Watu tunapotoa/sema R.I.P. ni kwamba tunamwomba Mungu ampe pumziko la amani. Siku zote binadam mwenye utu, hawezi kumwombea mwenzake mabaya, we always pray for the best kwa ajili ya wenzetu.

Asante sana mkuu, mi naona wote tunaongelea kitu kile kile. RIP ni njia tu ya kujifariji na kufarijiana, it has nothing to do with God's decisions. Kiukweli kama ulivyosema ni Mungu pekee anayejua amweke mahali gani na hiyo ni kutokana na matendo ya marehemu alipokuwa hai. Biblia ilo straight foward, hujatubu dhambi zako ukiwa hai, mahali pako ni jehanum ya moto. Iko open pia, ukitubu dhambi zako ukiwa hai utapata pumziko la milele. Kwa maana hiyo, RIP kwa Mungu ni sawa na porojo tu, hazisaidii
 
Back
Top Bottom