George Frederick Mbowe hatunae tena, JK atuma salamu za rambirambi

Mzee Mtei nakuona humu,twambie vyema ulivyo mfahamu mzee mbowe.
 
Asante sana mkuu, mi naona wote tunaongelea kitu kile kile. RIP ni njia tu ya kujifariji na kufarijiana, it has nothing to do with God's decisions. Kiukweli kama ulivyosema ni Mungu pekee anayejua amweke mahali gani na hiyo ni kutokana na matendo ya marehemu alipokuwa hai. Biblia ilo straight foward, hujatubu dhambi zako ukiwa hai, mahali pako ni jehanum ya moto. Iko open pia, ukitubu dhambi zako ukiwa hai utapata pumziko la milele. Kwa maana hiyo, RIP kwa Mungu ni sawa na porojo tu, hazisaidii

Wengine hatuamini hata kwamba mungu yupo. Tunaamini kwamba ukifa ndio mchezo unaisha, umeme unakatika, hakuna kinachoendelea utakachoelewa. Lakini R.I.P inaweza ku apply vile vile.

Kwa sababu kiza kinene hicho ndiyo "peace" yenyewe.

Kwa hiyo usitake kutafsiri R.I.P katika tafsiri yako finyu ya kidinidini na kimungumungu.
 
..Mbowe had a very interesting career track.

..kwanza alisimamia zoezi la utaifishaji majumba ya watu binafsi.

..halafu akasimamia zoezi la ubinafsishaji mali za umma.

..ONLY IN TANZANIA!!!!
 
Kumbe na wewe kuna mambo 'unaamini' eeeh?

Mie sio tu naamini, nasema hakuna chochote zaidi ya kuamini.

Hakuna yeyote anayejua chochote, wote tunaamini tu when you get down to it. Dust up your Karl Popper and Plato's "Apology" you will see that this is nothing new. Look at the wave particle duality of electromagnetic waves, Heisenberg's uncertainty principle and the quantum exuberance that is "action at a distance spookiness" and you will see that not only can't we know, but knowing is the Selassian illusion, to be pursued but never attained.

To think that the universe is "knowable" with certainty is only a product of the parochial poverty of our minds. Ndiyo maana wajuzi wanasema hakuna kitu 100%.

Sijui, na hata sijui kama sijui.

But that's a whole 'nother gang'o rap.

Mimi namfikiria mshkaji wangu Patrick usawa huu, na sitaki ku derail thread out of respect for mshua.
 
..R.I.P George Mbowe.

NB:

..Mzee huyu alikuwa mtumishi wa umma wa muda mrefu akiwa amefanya kazi na Mwalimu Nyerere,Raisi Mwinyi, pamoja na Raisi Mkapa.

..kama sijakosea miaka ya 60 na 70 alipewa jukumu la kusimamia zoezi la kutaifisha nyumba, na kuanzishwa kwa "msajili wa majumba". Zoezi hilo lilihusisha pia kuwafidia wale "walionyang'anywa" nyumba zao.

..miaka ya 80 nadhani alipata na misukosuko ktk kashfa ya meli ya "Lord" Rajpar. baada ya hapo naamini jina lake lilikuwa cleared na ndipo alipokwenda nje ya nchi kikazi.

..miaka ya 90 akaibuka na kuwa Mkurugenzi mwanzishilishi wa PSRC, chombo kilichosimamia uuzwaji wa mashirika ya umma na mali nyingine zilizotaifisha miaka ya 60!!!!!
Mkuu Joka Kuu, kusema kweli watu humu jf mna data!. Umenikumbusha Lord Rajpar, moja ya makosa yake enzi za mwalimu, ni kumiliki, meli, ndege na ile benzi yake, S Class 500 yenye hadhi kubwa kuliko ya rais, by then Nyerere akitumia D.200!. Nyumbani kwake pale Masaki, alichimba bore hole yake, hivyo kujitegemea kwa maji yake, na kufunga windmill yake hivyo kujitegemea kwa umeme!.

Lord Rajpar, akaswekwa ndani enzi za wahujumu, na kuishia kujifia zake depression!.

Rip. GM!.
 
Mkuu Joka Kuu, kusema kweli watu humu jf mna data!. Umenikumbusha Lord Rajpar, moja ya makosa yake enzi za mwalimu, ni kumiliki, meli, ndege na ile benzi yake, S Class 500 yenye hadhi kubwa kuliko ya rais, by then Nyerere akitumia D.200!. Nyumbani kwake pale Masaki, alichimba bore hole yake, hivyo kujitegemea kwa maji yake, na kufunga windmill yake hivyo kujitegemea kwa umeme!.

Lord Rajpar, akaswekwa ndani enzi za wahujumu, na kuishia kujifia zake depression!.

Rip. GM!.

Babu Mercedes S 500 ilitoka mwaka gani?
 
Mie sio tu naamini, nasema hakuna chochote zaidi ya kuamini.

You talk too much you end up contradicting yourself!

Utasemaje 'unaamini' halafu useme "nasema hakuna chochote zaidi ya kuamini"?

Anyway, ngoja nisiendelee kuchakachua uzi wa watu!
 
Kuna mijitu ina thinking ya ajabu kama wewe hodari wa kurekebisha kiswahili na bingwa wa dini nenda jukwaa la dini hapa tunawapa pole wafiwa na kumkumbuka mtu aliyekuwa ni mfano wa kuigwa kwa utendaji kazi. Kama unachuki zako binafsi peleka huko mnakera watu wengine jamani. Pole sana Apollo na Lilian, Patrick mmoja ya wazee wa upanga ametutoka.
 
You talk too much you end up contradicting yourself!

Utasemaje 'unaamini' halafu useme "nasema hakuna chochote zaidi ya kuamini"?

Anyway, ngoja nisiendelee kuchakachua uzi wa watu!

I don't talk here, I write, remember?

Sio tu naamini, nasema hakuna chochote zaidi ya kuamini.

Maana yake ukijifanya wewe ni mtu wa "facts" unataka kujua tu, hutaki kuamini, utakuta hata hizo facts zimekuwa based katika imani na assumption.


Utasema unajua pembetatu ina nyuzi 180 tu, si zaidi wala pungufu. Utaambiwa kuna non-Euclidean geometry huko ambako pembetatu ina nyuzi zaidi au pungufu ya 180 tu, na haiwezi kuwa na pembe 180.

Kwa hiyo ukifikiri kwamba kuna kitu zaidi ya kuamini unakuwa deluded na some parochial assumptions.


Nimekupa references usione natoa vitu kichwani tu. Zifanyie kazi halafu kama una criticism tuifungulie uzi mwingine.

May all beings attain enlightenment.
 
Kuna mijitu ina thinking ya ajabu kama wewe hodari wa kurekebisha kiswahili na bingwa wa dini nenda jukwaa la dini hapa tunawapa pole wafiwa na kumkumbuka mtu aliyekuwa ni mfano wa kuigwa kwa utendaji kazi. Kama unachuki zako binafsi peleka huko mnakera watu wengine jamani. Pole sana Apollo na Lilian, Patrick mmoja ya wazee wa upanga ametutoka.

Duh! Haya bana. I'm out.
 
Mzee Mbowe, nilimfahamu akiwa mkurugenzi wa kampuni ya Tanganyika Development Finance Company Limited (TDFL) Kampuni iliyokuwa ikitoa mikopo ya maendeleo kwa viwanda, mashamba na kampuni mbalimbali, pia walikuwa wakimiliki hotel kadhaa hapa nchini zikiwa chini ya kampuni ya Bushtreker Hotel Management ambazo ni :

Bahari Beach Hotel,
Mkonge Hotel,
New Arusha Hotel
Equator Hotel
Bushtreker Restaurant.
Highland Hotel
Morogoro Hotel

Baada ya Mzee Mbowe kustaafu, management mpya iliuza mali zote za TDFL hadi jengo la ofisi linalotizamana na hotel ya Movempik, na ikafutika kabisa kwenye vitabu vya biashara nchini Tanzania.

Mzee George Mbowe, wazazi wake ni Wanyasa wa Malawi walihamia nchini Tanzania miaka mingi na kuishi mkoani Dodoma, hawana uhusiano wowote na Mwenyekiti wa Chadema Bw. Freeman Mbowe.

MWENYENZI MUNGU AMPUMZISHE KWA AMANI
 
Poleni wafiwa, Mungu awape faraja katika kipindi chote cha msiba, mlipenda Mzee wetu lakini Mwenyezi Mungu kampenda zaidi. RIP Mzee Mbowe.
 
Vinega wamefiwa tena???!!! wataanza kudeka kama siku zile maana jamaa wakifiwaga wana tabu hawa,huwa wanadeka sana...!

Poleni wafiwa wote mungu amuweke pahala panapofaa mpendwa wenu.
 
Back
Top Bottom