Gentamycine arudishwe jukwaa la sport limepoa na linaboa

Moderator fanyie kazi hili swala jukwaa limepoa sana halina vionjo vyovyote vile na vijembe kitu ambacho ni kizuri
Mfano kipindi cha usajili wa ligi ya bongo ukija kwenye jukwaa mpaka unakereka limepoa

Moderator mrudisheni
Umemis matusi?
 
acha kujipigia promo... watu wafupi na wanene mna matatizo sana...
 
Tulikua tunampenda Phiri kwa sbb labda anatabasamu muda wote..hatujui huko kambini alibehave vipi..kwa sbb walikua wanampiga benchi sana..walimu wote walimwanzisha benchi so maybe kuna tatizo..
 
Back
Top Bottom