Gazeti la Uhuru ladai CHADEMA wananunua shahada za kupigia kura Igunga kwa noti feki

Kwanza tujiulize gazeti hilo ni la nani ? jibu ni la Ccm. Hao wanajaribu kuwachanganya watu akili, kampeni ya uchaguzi Igunga
iendelee kwa kuwaelimisha watu zaidi na zaidi kuhusu madhara ya Ccm na vyama pandikizi vya Ccm. Habari za gazeti uhuru ni
za kuzipuuza, na kuelekeza mawazo bora zaidi kwa wananchi na mpaka kwa wale wa vijijini na kwa njia mnayoitumia CDM
kuwaelimisha kwa lugha ya kisukuma mpaka na vikongwe sasa hivi wanatambua kama ni nani anayesabisha wao na watanzania
wote kuwa maskini wa kutupwa, ilo ni jambo zuri sana na lisilokuwa na mfano wake kwa CDM. Na mashambulizi yaendelee
nchi nzima ya aina yake mpaka kieleweka na ukombozi hupo jirani sana, kwani dhairi uwezo wa kuongoza nchi chini ya CDM ni
mkubwa sana na wa kuleta maendeleo kwa haraka. Hilo gazeti la uhuru bado lipo kwenye propaganda za Lenin ambazo
zimeshapitwa na wakati za kuwaacha watanzania wanakula ngumi.
You have a point comrade....
 
Back
Top Bottom