Gazeti la chama tawala CCM la Uhuru la leo 20/09/2011 limeandika kuwa CHADEMA wanatumia noti bandia kununua shahada za kupigia kura toka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali huko Igunga.
Isije ikawa ni ku-counter yale yaliyowapata CCM kwa mabalozi na makada wao kukamatwa na wakiorodhesha najina na namba za shahada ili kuwarubuni wapiga kura na hatimae kushinda kimazingaombwe kama walivyozoea.
Isije ikawa ni ku-counter yale yaliyowapata CCM kwa mabalozi na makada wao kukamatwa na wakiorodhesha najina na namba za shahada ili kuwarubuni wapiga kura na hatimae kushinda kimazingaombwe kama walivyozoea.