<br />
<br />
That is the difference between CHADEMA and CCM, chadema wanakwambia ''SIKIA HALAFU ONA" ccm wanakwambia "SIKIA TU KUONA SI HAKI YAKO"
Kwa maoni yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
That is the difference between CHADEMA and CCM, chadema wanakwambia ''SIKIA HALAFU ONA" ccm wanakwambia "SIKIA TU KUONA SI HAKI YAKO"
I agree with you. This newspaper enjoys the same status as Tanzania Daima na Mtanzania or Rai. They are all propaganda tools!
Yaani CCM wanajisahau mpaka wanaona kununua shahada ni biashara halali na kosa ni kutumia noti bandia tu!? Kweli magamba ni nouma!
Kweli magamba ni magamba tu.Hayo ndiyo magamba bwana!!
Hivi kwanini Uhuru wasitafute Waandishi wa habari waliandikie habari! Hivi kuna mtu anayeweza kukubaliana na ujinga kama huu! Hivi kununua shahada kwa noti bandia ni kujijenga au kujibomoa! Lakini kwakuwa wanatumia Masaburi kufikiri ndio maana wanaweza kufikiri kwamba wanaweza kuuza ujinga wao na ukakubalika na watu.
Ni gazeti takataka
Ni heri CCM wanatumia pesa halali!Gazeti la chama tawala CCM la Uhuru la leo 20/09/2011 limeandika kuwa CHADEMA wanatumia noti bandia kununua shahada za kupigia kura toka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali huko Igunga.
Isije ikawa ni ku-counter yale yaliyowapata CCM kwa mabalozi na makada wao kukamatwa na wakiorodhesha najina na namba za shahada ili kuwarubuni wapiga kura na hatimae kushinda kimazingaombwe kama walivyozoea.
<br />Gazeti la chama tawala CCM la Uhuru la leo 20/09/2011 limeandika kuwa CHADEMA wanatumia noti bandia kununua shahada za kupigia kura toka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali huko Igunga.<br />
<br />
Isije ikawa ni ku-counter yale yaliyowapata CCM kwa mabalozi na makada wao kukamatwa na wakiorodhesha najina na namba za shahada ili kuwarubuni wapiga kura na hatimae kushinda kimazingaombwe kama walivyozoea.
gazeti la chama tawala ccm la uhuru la leo 20/09/2011 limeandika kuwa chadema wanatumia noti bandia kununua shahada za kupigia kura toka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali huko igunga.
Isije ikawa ni ku-counter yale yaliyowapata ccm kwa mabalozi na makada wao kukamatwa na wakiorodhesha najina na namba za shahada ili kuwarubuni wapiga kura na hatimae kushinda kimazingaombwe kama walivyozoea.