Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Gazeti la Nipashe liliandika kwa kichwa cha habari kikubwa kuwa Watoto wafundishwa kulawitiana shuleni
Watu wengi walishtuka lakini mimi Nilishikwa na wasiwasi kuhusu ukweli wa hii habari hasa ukizingatia gazeti hili lilikuwa nalijua kwa kuandika habari kwa mtindo wa "sensationalism", kwa wasiojua maana ni kuandika kichwa cha habari kwa lengo la kuleta mshtuko ambao hauendani na ukweli wa habari yenyewe ili kuvutia wasomaji kununua gazeti au kubonyeza "link"
Ila nikanunua gazeti lenyewe ili kuona ipoje, kama wasiwasi wangu ulivyonituma nikakuta ni sensationalism Ile ile
Habari yenyewe inaelezwa kuwa ni mzazi alikuwa akimsimulia mwandishi kuwa alimuona mtoto wake akifundishana na mtoto wa jirani vitendo vya kulawitiana, mzazi huyo akashtuka na kumbana mtoto huyo amuelezee alijuaje hayo mambo, ndio mtoto akamsimulia kuwa wanafundishwa shuleni
Na shuleni wanafundishwa jinsi ya kutumia vilainishi na ili wasiumizane na wanafunzi wakubwa wa darasa la saba ndio huwalawiti wanafunzi wa madarasa ya chini
Sasa hii ni habari yenye chain ndefu ya kusimuliana ambayo inaifanya kuwa na uwezekano mkubwa kuwa ya uwongo au ya kutiwa chumvi,
Yaani mtu A (mtoto) alimsimulia mtu B (mzazi) kisha mzazi ndio akasimulia mtu C (mwandishi)
Swali langu ni je, kwa nini mwandishi baada ya kupata tip ya habari kubwa na ya kushtua hivyo kwa nini asingefanya uchunguzi, kwa kuhoji wanafunzi wengine kadhaa wa shule hiyo au hata kutuma undercover (jasusi) shuleni hapo ili kupata ukweli wenyewe?
Mbona ilikuwa kazi rahisi sana, badala yake ni kukimbilia kuandika tu ili kuuza gazeti..
Haya ndio maadili ya waandishi wetu?
Nasubiri majibu ya serikali, natumaini hayatamaliza mwezi
Watu wengi walishtuka lakini mimi Nilishikwa na wasiwasi kuhusu ukweli wa hii habari hasa ukizingatia gazeti hili lilikuwa nalijua kwa kuandika habari kwa mtindo wa "sensationalism", kwa wasiojua maana ni kuandika kichwa cha habari kwa lengo la kuleta mshtuko ambao hauendani na ukweli wa habari yenyewe ili kuvutia wasomaji kununua gazeti au kubonyeza "link"
Ila nikanunua gazeti lenyewe ili kuona ipoje, kama wasiwasi wangu ulivyonituma nikakuta ni sensationalism Ile ile
Habari yenyewe inaelezwa kuwa ni mzazi alikuwa akimsimulia mwandishi kuwa alimuona mtoto wake akifundishana na mtoto wa jirani vitendo vya kulawitiana, mzazi huyo akashtuka na kumbana mtoto huyo amuelezee alijuaje hayo mambo, ndio mtoto akamsimulia kuwa wanafundishwa shuleni
Na shuleni wanafundishwa jinsi ya kutumia vilainishi na ili wasiumizane na wanafunzi wakubwa wa darasa la saba ndio huwalawiti wanafunzi wa madarasa ya chini
Sasa hii ni habari yenye chain ndefu ya kusimuliana ambayo inaifanya kuwa na uwezekano mkubwa kuwa ya uwongo au ya kutiwa chumvi,
Yaani mtu A (mtoto) alimsimulia mtu B (mzazi) kisha mzazi ndio akasimulia mtu C (mwandishi)
Swali langu ni je, kwa nini mwandishi baada ya kupata tip ya habari kubwa na ya kushtua hivyo kwa nini asingefanya uchunguzi, kwa kuhoji wanafunzi wengine kadhaa wa shule hiyo au hata kutuma undercover (jasusi) shuleni hapo ili kupata ukweli wenyewe?
Mbona ilikuwa kazi rahisi sana, badala yake ni kukimbilia kuandika tu ili kuuza gazeti..
Haya ndio maadili ya waandishi wetu?
Nasubiri majibu ya serikali, natumaini hayatamaliza mwezi