Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
Tunashangaa nini ni jambo lililotegemewa gazeti limejiachia uhuru kupita kiasi hayo ndio matokeo yake.
halafu kuna bandiko moja walilituma hapa usiku wa manane eebwana lilikuwa babu kubwa cha ajabu sasa uzi umewekwa wametoa mpaka picha ya Ramadhani ighondi anayehusika na utekaji wa ulimboka mpaka namba za simu za wote waliohusika na mida waliyokuwa wanapigiana lilikua noma aisee sema MODS walijua ule ni utata wakalitoa fasta ila nilibahatika na mimi kulipitia usiku huo na kucoment asbh likawa ukituma comment unaambiwa huna access na hii makitu. duh ial kubenea ni noma aisee.
wewe ndio mwenye chuki na uislam kama umekasirika nenda mahakamani kama walivyofanya TCRA.
Safi sana gazeti la udaku na majungu na kufitinisha watu hata hivyo serikali imechelewa mno kulifungia.
Kubenea hana ukweli wowote, yeye ni mchonganishi na mzushi, na kama uko karibu nae mwambie hivyo hivyo na wananchi wanajua hivyo
Watanzania tumuogope sana mtu anaechochea chuki na fitna katika nchi yetu.ni hatari sana kwa ustawi wa jamii iliyostaarabika.mwanahalisi ilikuwa inaipeleka nchi kubaya.
Haaahaa! Ile dozi ya Kubenea ilikuwa kubwa kuliko. Maana imewaweka jamaa uchi bila kutegemea
Safi sana gazeti la udaku na majungu na kufitinisha watu hata hivyo serikali imechelewa mno kulifungia.
Mkuu unaweza kutupatia hiyo nakala ya MwanaHalisi - Huyu ndiye aliyemteka Dr Ulimboka?
dozi imemrudia
Safi sana gazeti la udaku na majungu na kufitinisha watu hata hivyo serikali imechelewa mno kulifungia.