Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Oct 30, 2012 #781 Sasa mwenyewe ameishafunguka na kusema kilichomtokea; kwa nini liendelee kufungiwa?
taffu69 JF-Expert Member Feb 26, 2007 2,094 538 Jan 29, 2013 #782 Tutor B said: Sasa mwenyewe ameishafunguka na kusema kilichomtokea; kwa nini liendelee kufungiwa? Click to expand... Mkuu wa nchi kasema hatalifungulia kwa kuwa lilitaka JESHI LIASI
Tutor B said: Sasa mwenyewe ameishafunguka na kusema kilichomtokea; kwa nini liendelee kufungiwa? Click to expand... Mkuu wa nchi kasema hatalifungulia kwa kuwa lilitaka JESHI LIASI
wajingawatu JF-Expert Member Jan 20, 2013 2,048 2,442 Jan 29, 2013 #783 huyo mkulu si aseme tu ukweli kwamba lilimuumbua?