kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
Gazeti kubwa marekani la WALLSTREET JOURNAL linadai Elon Musk ameshiriki kwenye matumizi ya madawa yasiyoruhusiwa kama vile LSD, cocaine, ecstasy na psychedelic mushrooms (Magic Mushroom) hasa hasa katika private parties. Matumizi hayo yanahusishwa na yeye kuboost uwezo wake wa kufanya kazi, ikumbukwe elon kwa sasa anaendesha na kusimamia kampuni kubwa 6 zinazofanya mambo yanayotumia teknolojia ya hali ya juu sana.
Hii imekuja baada ya jaji kutengua compensation yake ya dola za kimarekani billion 55 kutoka kampuni ya Tesla.
Unaweza kusoma zaidi hapa.
Ikumbukwe Magic Mushroom au wengine wanavyooenda kuziita Psychedellic mushrooms zimekua bado na debate kubwa duniani kuhusu uhalali wake. Mmea huo umekuwa ukitumiwa kiroho na kiburudani kwenye jamii mbali mbali.
Soma makala yangu kuhusu Magic Mushroom hapa Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?
Hii imekuja baada ya jaji kutengua compensation yake ya dola za kimarekani billion 55 kutoka kampuni ya Tesla.
Unaweza kusoma zaidi hapa.
Elon Musk takes illegal drugs with some Tesla board members: Report
Elon Musk’s use of illegal drugs was common knowledge among several current and former Tesla Inc. and SpaceX directors, the Wall Street Journal reported on Saturday.
www.livemint.com
Ikumbukwe Magic Mushroom au wengine wanavyooenda kuziita Psychedellic mushrooms zimekua bado na debate kubwa duniani kuhusu uhalali wake. Mmea huo umekuwa ukitumiwa kiroho na kiburudani kwenye jamii mbali mbali.
Soma makala yangu kuhusu Magic Mushroom hapa Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?