Ni mtaalamu wa sheria ya kodi na siyo kodi. Ndo madhara ya kutoheshimu taaluma. Huwezi mchukua mwanasheria akawa gavana wa benki kuu.Yaani kodi na uchumi hazina uhusiano? Kama anajua kodi tu na yeye ni Gavana wa Benki kuu basi ni kilaza mtupu, ataangamiza uchumi na hiyo benki yanyewe inaopumulia oxgen ya ICU