Wadau,
Mimi naomba mnisaidie kwanini gas asilia inapatikana Mtwara then tunaingia cost ya kujenga bomba, la gas mpk Dar kuzalisha umeme then tunatandaza waya za umeme hadi Mtwara kupeleka Umeme kwanini tusizalishe Umeme pale Mtwara kwa kujenga mtambo pale then tusambaze mikoa ya kusini na uje mpk Dar kama unahitajika?
Hii itapunguza leakage ya gas, njiani,
Cost za bomba, matunzo na ulinzi wake,
Uharibifu wa miundo mbinu mingine kupisha bomba hiyo
Pia Kwa nini tununue gas from outside Kwa bei mbaya wakati nayo yetu hapa kwa kupikia n.k au haifai? Coz me sijui vema mambo ya Petroleum.
Hii kukuza ajira na upatikanaji wa Umeme Kwa mikoa ya kusini.
Usishangae makaa yakachimbwa Ngaka yasafirishwe Kwa magari mpk Dar kuzalisha umeme, kisha umeme utoke Dar mpk Ngaka kutumika Kwny mgodi.
Mimi naomba mnisaidie kwanini gas asilia inapatikana Mtwara then tunaingia cost ya kujenga bomba, la gas mpk Dar kuzalisha umeme then tunatandaza waya za umeme hadi Mtwara kupeleka Umeme kwanini tusizalishe Umeme pale Mtwara kwa kujenga mtambo pale then tusambaze mikoa ya kusini na uje mpk Dar kama unahitajika?
Hii itapunguza leakage ya gas, njiani,
Cost za bomba, matunzo na ulinzi wake,
Uharibifu wa miundo mbinu mingine kupisha bomba hiyo
Pia Kwa nini tununue gas from outside Kwa bei mbaya wakati nayo yetu hapa kwa kupikia n.k au haifai? Coz me sijui vema mambo ya Petroleum.
Hii kukuza ajira na upatikanaji wa Umeme Kwa mikoa ya kusini.
Usishangae makaa yakachimbwa Ngaka yasafirishwe Kwa magari mpk Dar kuzalisha umeme, kisha umeme utoke Dar mpk Ngaka kutumika Kwny mgodi.