Jamani naomba kuuliza kama gari kama Toyota corona Premior au Verossa yenye injini ya D4 kama ina matatizo katika uendeshaji. nataka nijue kama iko safi kwa matumizi.
Ahsanteni jamani maana haya magari ukikurupuka unaweza ukachukia gari maisha yako yote lakini kumbe hukufanya analysis nzuri wakati wa kununua.