Wengine tuna ugonjwa wa moyo jamani
Wavumulie! Unajua wengi wanatumia majina bandia ndio sbb hawajuani, wangekua wanajuana tungeambiwa nani analo na nani hana. Ukute wakandiaji wengi hawana hata bodaboda, achilia mbali carina kama hiyo pichani!Nimecheka mpaka kufa.Jamani hili gari kweli wanaosemea maneno mabaya hivyo wao wanayo?
Yeye kasema anauza na bei+picha kaweka,kumbe bora asingeweka picha wala bei, na huko saa hizi bila shaka wako kibao wanaoomba wapunguziwe bei.
Hayo matusi kuwa lazima uzoeleke kwa mafundi bubu,haliuziki,uza parts,umri wa mpiga kura etc yanatoka wapi?Waswazi tuna kazi kweli.