Mnyalu wa Kweli
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 233
- 55
Chama kinapoamua kutumia vyombo vya dola kukandamiza umma na vilevile sanduku la kura linaposhindwa kutimiza matarajio ya jamii fulani basi jamii hiyo huamua kutafuta alternative means ya kuleta mabadiliko.