hapo nakataa mkuu, mbna me ninako ka kishkaji bt nina mikelele mpk najichukia!
Lily Flower, ni nywele za kifuani kama vile wanaume walivyo nazo! kama sijakosea! mweee!Sijaelewa ni kitu gani hicho "Garden Love"?
Fafanua.
hapo nakataa mkuu, mbna me ninako ka kishkaji bt nina mikelele mpk najichukia!
Lily Flower, ni nywele za kifuani kama vile wanaume walivyo nazo! kama sijakosea! mweee!
hapo nakataa mkuu, mbna me ninako ka kishkaji bt nina mikelele mpk najichukia!
hapo nakataa mkuu, mbna me ninako ka kishkaji bt nina mikelele mpk najichukia!
Ok love garden uko sawa hujakosea ila mtoa mada kachanganya madesa.
Hilo neno linapotamkwa linajulikana kabisa linahusu nini,lakini wengi huhisi inamhusu zaidi mwanaume.Lakini kuna wanawake nao wana garden bana.Kuna mmoja nilimfuma akifanya mazoezi uwanjani,duh nilikodo kisha nikaendelea na 50 zangu,lakini zaidi vidume waliowalamba hawa wanawake wenye hii kitu wanasema ni watam(huu msemo amenifundisha gfsonwin) na wana joto.Haya vidume hebu fungukeni mtujuze. . . . . . . Yana ukweli haya?
Hahahahah! Acha fujo hizo bhana!mmh sijui ni 'garden love' au 'love garden'....aah sorry, naona nimekomfyuzii
Utamu wa Pipi ni mate yako. Aidha, utamaliza mabucha ilihali nyama ni nyama, tofauti mapishi.
Ninawafahamu wawili ambao ni majirani zangu........
Wote wana matatizo ya kuwa na uhusiano na wanaume usio imara.......
Mmoja uhusiano wake na mumewe unalegalega na wanaishi kwa mazaoea tu lakini kila mtu ana-cheat kwa muda wake na mwingine anabadilisha wanaume kila mara hakai na mwanaume mmoja kwa muda mrefu................
What different does it make?