engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kituko kimetokea Iringa, ambao Francis Godwin anaripoti katika blogu yake kuwa ilimlazimu mrembo mmoja kukimbilia katika studio za Photo Next katika stendi ya mabasi ya Miyomboni ili kujinusuru na kundi kubwa la watu waliokuwa na azma ya kumchania nguo zake kutokana na kuvaa nguo za ndani (gagulo) nje.
Nguo ambayo aliivaa iliuacha mwili wake nusu uchi, kitendo kilichowakasirisha wananchi walioamua kuanza kumfukuza kwa lengo la kuitaka kuichana nguo hiyo ili ahttps://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/editor/insertimage.pngtembee uchi kabisaa!
Polisi walimwokoa mrembo huyo ambaye alipewa upande wa kanga na mwanamke mwenzake ili ajisitirie.
Ati mrembo huyo ni Mtanzania aliyeishi sana Uingereza na hufika Iringa kufanya kazi katika Benki moja.
Baadhi ya wanawake waliokuwepo katika tukio hilo walidai kuwa pamoja na kuwa hawaungi mkono hatua ya vijana hao kutaka kumchania nguo mrembo huyo ila bado wao kama wanawake wamesikitishwa na mavazi ya mrembo huyo nakuwa mavazi hayo yalipaswa kuvaliwa clab usiku sio mchana.
Nguo ambayo aliivaa iliuacha mwili wake nusu uchi, kitendo kilichowakasirisha wananchi walioamua kuanza kumfukuza kwa lengo la kuitaka kuichana nguo hiyo ili ahttps://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/editor/insertimage.pngtembee uchi kabisaa!
Polisi walimwokoa mrembo huyo ambaye alipewa upande wa kanga na mwanamke mwenzake ili ajisitirie.
Ati mrembo huyo ni Mtanzania aliyeishi sana Uingereza na hufika Iringa kufanya kazi katika Benki moja.
Baadhi ya wanawake waliokuwepo katika tukio hilo walidai kuwa pamoja na kuwa hawaungi mkono hatua ya vijana hao kutaka kumchania nguo mrembo huyo ila bado wao kama wanawake wamesikitishwa na mavazi ya mrembo huyo nakuwa mavazi hayo yalipaswa kuvaliwa clab usiku sio mchana.