queen matara
Member
- Apr 29, 2011
- 40
- 61
Maajabu haya jamani. Kweli maumbile ya wanawake yana nguvu ya pekee kwa wanaume. Yaani kazi zote zikasitishwa, kisa? Wanaume wanataka kuona sehenu zinazokaribia pale walipo-fyatukia into the world. Wanaume wanapovaa kata-K wanaitwa Masharubaro. Human rights zizingatiwe jamani