Jamani,
Dear all members of the home of great thinkers,
Naomba ufafanuzi toka kwa watalaamu wa maswala ya Political Science au yeyote mwana JF kuhusu kauli za Rais Wa Libya Muamar Gadafi.
Akihutubia wakuu wa nchi za Afrika Mei mwaka huu, aliunga mkono maharamia wa kisomali na kusema waliibuka kutokana na Choyo ya Nchi Za Magharibi. Akasema maharamia wapo kazini kulinda unyonyaji dhidi ya Wasomali.
Wiki hii kawaambia wakuu wenzake kwamba nchi zote za Afrika lazima zifunge balozi za Israel mara moja ili kupinga kile alichokiita uzandiki wa Nchi za Magharibi.
Baada ya Vita ya Kagera, tukiwa katika oil crisis, nchi haina mafuta, alimkejeli Hayati Nyerere akimtaka ampe mateka wa kivita kwa kubadilishana na mafuta kama alivyofanya kwa Merghani. Nyerere alikataa akamwambia thamani ya binadamu haiwezi kulinganishwa na mafuta na badala yake akamrudishia mateka bure.
Huyu Ndiye Shujaa wetu baada ya akina Nyerere na Mandela>
Dear all members of the home of great thinkers,
Naomba ufafanuzi toka kwa watalaamu wa maswala ya Political Science au yeyote mwana JF kuhusu kauli za Rais Wa Libya Muamar Gadafi.
Akihutubia wakuu wa nchi za Afrika Mei mwaka huu, aliunga mkono maharamia wa kisomali na kusema waliibuka kutokana na Choyo ya Nchi Za Magharibi. Akasema maharamia wapo kazini kulinda unyonyaji dhidi ya Wasomali.
Wiki hii kawaambia wakuu wenzake kwamba nchi zote za Afrika lazima zifunge balozi za Israel mara moja ili kupinga kile alichokiita uzandiki wa Nchi za Magharibi.
Baada ya Vita ya Kagera, tukiwa katika oil crisis, nchi haina mafuta, alimkejeli Hayati Nyerere akimtaka ampe mateka wa kivita kwa kubadilishana na mafuta kama alivyofanya kwa Merghani. Nyerere alikataa akamwambia thamani ya binadamu haiwezi kulinganishwa na mafuta na badala yake akamrudishia mateka bure.
Huyu Ndiye Shujaa wetu baada ya akina Nyerere na Mandela>