Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Makubwa haya. Hata kifo cha Kennedy na nani aliyemwua anataka Umoja wa mataifa upeleleze au uelezwe. Nani alimwandikia hiyo spichi?
Sidhani kama hiyo hotuba imeandikwa maana haina mpangilio kabisa. Mara anauliza adience maswali...mara anageuka nyuma...basi tu ili mradi.