huyo anasema Ghaddaf kaongea pumba yeye ndie pumba tena Ziliozoozaaa zinanukaa
Dah jamaa kichwa hakuna rais wa Afrika anaye weza kumwaga ladhi kama huyu dah kafunika katika historia mtake msitake huyu sio kibaraka wa weupe nimependa sana kawabwatukia weupe.
Yaani huyu mjinga mjinga unamwona kichwa? Toka lini kuongea ujinga ujinga na pumba ikawa sio ukibaraka? Uliwahi kumwona Mchonga aki act kama hana akili nzuri? Uliwahi kumsikia Mchonga akiongea pumba zisizoeleweka?
Hili lijamaa lijinga na halina akili. Halina hata chembe ya ustaarabu. Utapandaje jukwaani na kuanza kurusha rusha makaratasi kama kichaa. Hoja hujibiwa kwa hoja na si antics kama alizoonesha jana. Angemgonga Mama Migiro je na kile kitabu alichorusha? Mthenge sana huyu Kadafi....
Toka lini mwarabu toka Jamhuri ya Kiarabu(sio Kiafrika) ya Libya akawa "King of Africa"! Njaa kweli mbaya...haya bana...
Ukiangalia vizuri utaona kana kwamba Gaddafi alikua amechoka
kusikia vicheko vya hawa mabwana katika picha ya kwanza. Nd'o
basi akaamua...."kama hawanisikizi hebu niwatupia kitabu chao"
...mwanamume kiboko kweli.
Waarabu wa africa wakati wa kudai uhuru walijitambua kweli kuwa ni wafarica hii ya kuwaona ni warabu imekuja sasa. Ukisoma hostoria inaonyesha kuwa akina Nasser walikuwa wapigania uhuru na ndio waanzilishi wa OAU akisaidiana na akina Nkrumah. Nkrumah alioa mke wake huko Misri. Ghadhaffi ni mwagrika na anafikria kiafrika ila tu ni too extermist hata kwa wafrika wenzie
...Ni ujinga kusifia MJINGA, kitu gani cha maana alichosema gaddafi zaidi ya lawama na unfertile criticisms zisizokuwa na maslahi kwa nchi yake wala africa...lkn ameprove that arabshv no any contribution to the global affairs!!
Uungwana ni kitu cha bure,hata hilo limemshinda!!dk 96 kwa kuongea pumba!!!
.Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton na balozi wa Marekani kwenye baraza la umoja wa Mataifa Susan Rice wakipinga ujio wa Gaddafi Marekani walitoka mapema kwenye ukumbi huo kabla ya Gaddafi kuanza hotuba yake.
Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi huku akimwita Obama mtoto wetu aliliponda baraza la usalama la Umoja wa mataifa na kuliita 'Baraza la Magaidi' huku akisisitiza kuwa mataifa ya ulaya lazima yazilipe fidia nchi za Afrika kwa kuzitawala kikoloni.Akilihutubia kwa mara ya kwanza baraza la umoja wa Mataifa baada ya rais wa Marekani, Barack Obama kumaliza hotuba yake, kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi alitumia muda wa dakika 96 tofauti na muda wa dakika 15 aliotakiwa kuutumia kutoa hutuba yake.
Akimwongelea Obama kama 'Mtoto Wangu' Gaddafi alisema "Tunafuraha kwamba kijana wetu wa Kenya amepigiwa kura na kuwa rais wa Marekani, je Marekani inaweza ikatuhakikishia kuwa baada ya Obama kutakuwa na serikali? Tungefurahi kama Obama angekuwa rais wa milele wa Marekani".
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton na balozi wa Marekani kwenye baraza la umoja wa Mataifa Susan Rice wakipinga ujio wa Gaddafi Marekani walitoka mapema kwenye ukumbi huo kabla ya Gaddafi kuanza hotuba yake.
Gaddafi aliliponda baraza la usalama la umoja wa Mataifa na kuliita "baraza la Magaidi" akisema kuwa tangia kuanzishwa kwa umoja wa mataifa kumetokea jumla ya vita 65 duniani.
"Hakuna mtu anayelijali baraza la usalama wa umoja wa mataifa" alisema Gaddafi na kuongeza "Baraza hili liliundwa na magaidi".
Gaddafi alisema kuwa baraza hilo liliundwa na mataifa makubwa na limetumiwa kuziporomosha nchi ndogo akitoa mfano wa vita vya Iraq, Afghanistan na Korea na Vietnam.
Kuna wakati Gaddafi alitaka kukichana kitabu cha bluu cha mkataba wa Umoja wa Mataifa lakini alisita baada ya kuona viongozi wa dunia wameduwaa kwa mshangao.
Gaddafi ambaye alitambulishwa kama kiongozi wa mapinduzi, rais wa umoja wa Afrika na mfalme wa wafalme wa Afrika alitetea haki za waafrika kwenye baraza hilo akitaka nchi za ulaya zilipe fidia ya dola trilioni 7.7 kwa nchi za Afrika kwa kuzitawala kikoloni.
"Mataifa ya Afrika yana haki ya kwenda popote pale na kudai dola trilioni 7.7 zilizoibwa toka Afrika", alisema Gaddafi.
Gaddafi alimalizia hotuba yake kwa kulitaka baraza la umoja wa mataifa kuchunguza sababu zilizopelekea kunyongwa kwa Saddam Hussein, kutupwa jela nchini Marekani kwa rais wa zamani wa Panama,Manuel Noriega na kuuliwa kwa rais wa zamani wa Marekani John F Kennedy pamoja na aliyekuwa mpiganiaji wa haki za watu weusi Marekani, Martin Luther King.Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi huku akimwita Obama mtoto wetu aliliponda baraza la usalama la Umoja wa mataifa na kuliita 'Baraza la Magaidi' huku akisisitiza kuwa mataifa ya ulaya lazima yazilipe fidia nchi za Afrika kwa kuzitawala kikoloni.
Akilihutubia kwa mara ya kwanza baraza la umoja wa Mataifa baada ya rais wa Marekani, Barack Obama kumaliza hotuba yake, kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi alitumia muda wa dakika 96 tofauti na muda wa dakika 15 aliotakiwa kuutumia kutoa hutuba yake.
Akimwongelea Obama kama 'Mtoto Wangu' Gaddafi alisema "Tunafuraha kwamba kijana wetu wa Kenya amepigiwa kura na kuwa rais wa Marekani, je Marekani inaweza ikatuhakikishia kuwa baada ya Obama kutakuwa na serikali? Tungefurahi kama Obama angekuwa rais wa milele wa Marekani".
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton na balozi wa Marekani kwenye baraza la umoja wa Mataifa Susan Rice wakipinga ujio wa Gaddafi Marekani walitoka mapema kwenye ukumbi huo kabla ya Gaddafi kuanza hotuba yake.
Gaddafi aliliponda baraza la usalama la umoja wa Mataifa na kuliita "baraza la Magaidi" akisema kuwa tangia kuanzishwa kwa umoja wa mataifa kumetokea jumla ya vita 65 duniani.
"Hakuna mtu anayelijali baraza la usalama wa umoja wa mataifa" alisema Gaddafi na kuongeza "Baraza hili liliundwa na magaidi".
Gaddafi alisema kuwa baraza hilo liliundwa na mataifa makubwa na limetumiwa kuziporomosha nchi ndogo akitoa mfano wa vita vya Iraq, Afghanistan na Korea na Vietnam.
Kuna wakati Gaddafi alitaka kukichana kitabu cha bluu cha mkataba wa Umoja wa Mataifa lakini alisita baada ya kuona viongozi wa dunia wameduwaa kwa mshangao.
Gaddafi ambaye alitambulishwa kama kiongozi wa mapinduzi, rais wa umoja wa Afrika na mfalme wa wafalme wa Afrika alitetea haki za waafrika kwenye baraza hilo akitaka nchi za ulaya zilipe fidia ya dola trilioni 7.7 kwa nchi za Afrika kwa kuzitawala kikoloni.
"Mataifa ya Afrika yana haki ya kwenda popote pale na kudai dola trilioni 7.7 zilizoibwa toka Afrika", alisema Gaddafi.
Gaddafi alimalizia hotuba yake kwa kulitaka baraza la umoja wa mataifa kuchunguza sababu zilizopelekea kunyongwa kwa Saddam Hussein, kutupwa jela nchini Marekani kwa rais wa zamani wa Panama,Manuel Noriega na kuuliwa kwa rais wa zamani wa Marekani John F Kennedy pamoja na aliyekuwa mpiganiaji wa haki za watu weusi Marekani, Martin Luther King.
Ndio maana yakeNaona kama paragraph inejirudi vile, au ni mambo ya copy and paste watachambua wenyewe?
Alikuwa na Green Card mpya wakayi huo. Ha haaaa!Hongera mkuu NN kwa kuwa na ID pacha Julius. Kumbe naweza badili ID bila ku-affect details nyingine?? Poa ni PM jinsi ya kufanya??
Ila pacha Julius namsifu anaandika kirefu zaidi kuliko ile short and stimulating!!! Ha ha ha mkuu. Hapo kwenye bold du kweli unajua kukwepa zile ******.