Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Inasemekana kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Gaddaffi, amekumbwa na kashfa ya mahusiano ya kimapenzi na mama mmoja wa ukoo wa kifalme huko Uganda.Habari hizi ni kwa madai ya gazeti liitwalo Red Paper huko Uganda.
Wana JF fuatilieni tetesi hizi na kuweka wazi kinachojiri.
Wana JF fuatilieni tetesi hizi na kuweka wazi kinachojiri.