G money Financial services Limited.

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
2,188
2,465
Habari wanabodi.

Najua JF ni msitu mkubwa, ninaomba mwenye kujua hawa watu mahali walipo aninuze.

Nina shida nao kwelikweli. Pamoja na mambo mengine wana/ walikuwa wana jihusisha na mambo ya miamala. Walikuwa mawakala wakuu wa Halotel pengine na mitandao mingine.

Tafadhali mwenye kufahamu mahali naweza kuwapata anisaidie.
Asanteni sana.
 
Habari wanabodi.

Najua JF ni msitu mkubwa, ninaomba mwenye kujua hawa watu mahali walipo aninuze.

Nina shida nao kwelikweli. Pamoja na mambo mengine wana/ walikuwa wana jihusisha na mambo ya miamala. Walikuwa mawakala wakuu wa Halotel pengine na mitandao mingine.

Tafadhali mwenye kufahamu mahali naweza kuwapata anisaidie.
Asanteni sana.
Ndio hawa?
Screenshot_20231010-082705_Google.jpg
 
Back
Top Bottom