chebi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 1,737
- 761
uongo wakomoro hawaoi wake wengi tatizo zinaa ni nyingiNi
Ni hatari hebu tudadavulie hapo? Nna jamaa yangu kaenda Comoro kuuza dawa za nguvu za kiume anasema kuna wateja sana coz wacomoro wanaoa wanawake wengi..Toka aondoke 2014 sijasikia tena kutoka kwake labda na yeye ametekwa na mwanamke wa kingazija