Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 493
- 193
Huenda unafanya biashara na raia wa Comoro au ulijaribu ila ukakutana na changamoto za hapa na pale. Au pengine ulikuwa unatamani kufanya biashara aidha kuuza au kununua bidhaa kutoka Comoro. Kuwa na amani, suluhisho limepatikana.
Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro na ubalozi wa Comoro nchini Tanzania wakishirikiana na UCCIA na Coso Marketing & PR solution LTD wanakuletea FURSA wewe mfanya biashara.
Ni Fursa ya kuweza kufanya biashara nchini Comoro.
UTAKUTANISHWA na wafanya biashara wakubwa , wadogo , na wa kati wa kuaminika kabisa wa nchi ya Comoro.
Hii ni USO kwa USO, tunatoka Tanzania, tunafunga safari hadi Comoro.
Note : KABLA YA SIKU YA SAFARI KUTAKUWA NA SEMINA MAALUM KWA WAFANYA BIASHARA ITAKAYOFANYIKA KWENYE UBALOZI WA COMORO.
Usikubali kupitwa na hii.
TANUA WIGO wa BIASHARA YAKO.
Kwa mawasiliano
Contact :
0684771367
Email :
coso@communicationsolution.co.tz
Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro na ubalozi wa Comoro nchini Tanzania wakishirikiana na UCCIA na Coso Marketing & PR solution LTD wanakuletea FURSA wewe mfanya biashara.
Ni Fursa ya kuweza kufanya biashara nchini Comoro.
UTAKUTANISHWA na wafanya biashara wakubwa , wadogo , na wa kati wa kuaminika kabisa wa nchi ya Comoro.
Hii ni USO kwa USO, tunatoka Tanzania, tunafunga safari hadi Comoro.
Note : KABLA YA SIKU YA SAFARI KUTAKUWA NA SEMINA MAALUM KWA WAFANYA BIASHARA ITAKAYOFANYIKA KWENYE UBALOZI WA COMORO.
Usikubali kupitwa na hii.
TANUA WIGO wa BIASHARA YAKO.
Kwa mawasiliano
Contact :
0684771367
Email :
coso@communicationsolution.co.tz