Fursa kwenye sekta ya elimu. Walimu tunakwama wapi kutengeneza hela kubwa?

Weweeee kusanya mshahara wekeza kwenye Carwash, maduka nk elimu upuuzi tu.

Tuliwai kujikusanya kwenye telegram walimu 50+ tukakubaliana tukutane tufanye kitu tukafika 4 tu ELIMU NI UJINGA TU.

Kuwekeza kwenye sekta ya elimu ni ujunga na kujipendekeza na kutokuwa na kazi na pesa zako picha linaanza elimu bule kuna biashara hapo.

Ujinga Ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweeee kusanya mshahara wekeza kwenye Carwash, maduka nk elimu upuuzi tu.

Tuliwai kujikusanya kwenye telegram walimu 50+ tukakubaliana tukutane tufanye kitu tukafika 4 tu ELIMU NI UJINGA TU.

Kuwekeza kwenye sekta ya elimu ni ujunga na kujipendekeza na kutokuwa na kazi na pesa zako picha linaanza elimu bule kuna biashara hapo.

Ujinga Ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweeee kusanya mshahara wekeza kwenye Carwash, maduka nk elimu upuuzi tu.

Tuliwai kujikusanya kwenye telegram walimu 50+ tukakubaliana tukutane tufanye kitu tukafika 4 tu ELIMU NI UJINGA TU.

Kuwekeza kwenye sekta ya elimu ni ujunga na kujipendekeza na kutokuwa na kazi na pesa zako picha linaanza elimu bule kuna biashara hapo.

Ujinga Ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....si ya kuchekesha...ila pole sana . Pole mnoo mdau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo CD naipataje au content?
Walimu wako wangapi na miradi ni mingapi? Kwa mfano ubongo kids ina crew ya watu wangapi wanaotoa misingi ya uwalimu?nainaga wazungu zaidi kule, wengine ni wasanii tu wa sauti na wataalamu wa multimedia na vinginevyo.

Pia jua elimu yetu inayotolewa na serikali ni mfu haina upana na haimpi mtu kuwa na creativity, ulimwengu wa sayansi huu, kila kitu ni tech, walimu kwenye ttc kule wanajifunza teaching aid kwa miti na makaratasi na vitambaa, maharagwe na mahindi. How will they be able to change that kuwa modern wakati hata masomo ya komputer huko vyuoni ni kujua kuwasha na kuzima tu mashine?

Tatu uwekezaji wa elimu ni ghari sana. Mathalani unataka kuandika app inayoweza msaidia mtoto kusoma, utahtaji kuwa na mtaalamu wa IT na wengine watakao intergrate ideas zako na tech, ni gharama, uchapishaji wa vitabu ni gharama kinyume chake soko unalotegemea kuuza huo ujuzi wako halipo definite na lipo saturated na unproffesional rubbish kibao zisizokuwa controlled. Watanzania hawajua elimu wala hawaipi thamani yake.

Nakupa mfano mwalimu mmoja maarufu Wa Geography ilikuwa inamlazimu kutembea mashuleni kuuza vitabu vyake, na ananunua mtu mmoja tena kwa kulia, kitabu cha elfu 30 anataka kwa elfu 3. Unauza kimoja vilivyobaki watu wanapiga kopi

Lakini saizi ni nani ana haja na material ya ubunifu wa elimu? Wewe si unafanya kazi kwenye sector ys elimu? Au hujui? Mwaka 2013, niliandaa DVD ya clips za picha zinazotembea physical geography, zikionesha vitu kwa uhalisia. Mfano mwanafunzi anaposikia volcano eruption, kwenye ile DVD anaona video kwa uhalisia.
Ili cover phycal geography yote, ukisoma stages of the river, mpk delta, types of rocks ile DVD ilionesha kwa uhalisi sio michoro.

Nilifanya hivi kuwasaidia wanafunzi wangu, na nikaenda shuleni kuitoa buree, ispokuwa tu kila mmoja alitakiwa aje na CD empty na tsh 500 ya ku burn, waliotaka zikiwa tayari niliwaambia wachangie 1500 tu. Kwakuwa nilitaka tu kufaulisha zaidi sio kupata fedha. I tell you. Walinunua wanafunzi watano tu kati ya 120 plus

kwahiyo Mazingira yetu, watu wetu, serikali nk nk ni tatizo kubwa katika kukuwa kwa sekta ya elimu na hii imeuwa walimu wengi na ubunifu japo kidogo uliopo, wengi sasa wanasubiri mishahara tu maisha yasonge aghalabu wachache wana miradi yao nje ya Elimu

Dumelang

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana sikubaliani na wewe, kuna investment haziitaji mtaji mkubwa. Nimetoa mfano wa elimu kwa njia ya technology wawekezaji sio walimu wakati walimu ndio wana content pana.
Uwezi sikia hata mwl anakuwa consultant wa mambo ya elimu wakati uwezo wengi wanao.
Unajua walimu wanaingia SAA ngapi Kazini siku hizi na wanatoka SAA ngapi? Walimu wana muda mchache sana Wa kufanya mambo ya ziada labda aache Kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dhana kwamba sekta ya elimu ni sekta isiyo na pesa. Kuweka maisha yako kwenye elimu ni kutafuta umaskini, walimu na wadau wa elimu ni wanyonge na watu wanaodhaurika na wanapuuzwa sababu wanaonekana ni watu wenye kipato duni.

Mimi ni mwalimu professionally na nimefundisha kwa muda mrefu baadae nikaamia kwenye miradi ya elimu yenye ufadhili wa wageni. Kwa uzoefu wangu kuna kitu nimejifunza.

Nataka tujadili kidogo kwa nini walimu hatutengenezi pesa kupitia elimu.

Ni kweli kwenye sekta ya elimu hakuna fursa mpya zaidi ya kushika chaki?

Ukiangalia mashule mengi yanaanzishwa na watu baki. Why sio walimu?

Innovation kubwa kwenye elimu zinafanywa na watu baki. Why sio walimu? Shule direct, Mtabe, Ubongo kids hazijaanzishwa na walimu.

Ingia sasa kwenye miradi ya elimu asili mia kubwa inasimamiwa na watu wengine kabisa. Walimu hawaonekani wao wapo mashuleni wanashika chaki.

Kina Nyambari walijaribu wakapiga hela lakini nao wamepotea siku hizi.
Mwalimu akitaka kuinvest basi ataanzisha twisheni center, atengeneze kitini au ataacha ualimu akafungue genge.

Kwa nini watu hatuwekezi uwekezaji mkubwa kwenye elimu au hakuna fursa?
Sekta ya elimu haiwezi tengeneza watu wenye pesa nyingi?
Binafsi sekta ya elimu niliipenda kutokana na mzazi wangu kuwa mwalimu lakini hakuna manufaa yoyote zaidi ya kufa masikini.

Pesa ipo kwenye siasa na biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina mpango wa kufungua ofisi itayoitwa Edulink consultancy .....hapa nitatoa maarifa kwa wazazi kuhusiana na career counseling pia nitakuwa na mawakala sehemu mbalimbali nchini wa kuwatafutia wanafunzi shule za private yaani nakuwa kama dalali ila natoa sababu why mtoto wako ajoin shule fulani kupitia hapo najua nitapata commission fulani
 
Mimi nina mpango wa kufungua ofisi itayoitwa Edulink consultancy .....hapa nitatoa maarifa kwa wazazi kuhusiana na career counseling pia nitakuwa na mawakala sehemu mbalimbali nchini wa kuwatafutia wanafunzi shule za private yaani nakuwa kama dalali ila natoa sababu why mtoto wako ajoin shule fulani kupitia hapo najua nitapata commission fulani
Thanks wazo nzuri mimi mwenyewe nawazo Kama lako la kufungua kampuni kabisa inahusiana na mambo ya elimu siku Za usoni nahisi tukikutana tunaweza tukachanganya mawazo mimi ni mwalimu wa physics na mathematics
 
Back
Top Bottom