mmmmmmm kumbe kuna watu bado wanamatatizo ya akiri,unaombea uchuro NCHI yako
Huyu ni mtu wa propaganda...making a lie to be the truth....Zoba, Msaidizi wa Hiza nini?
i agree with you 100% whoever is doing that politically is "utterly crap".
why not furaha ya police and govement officials? instead of catching criminals are killing innocent citizen
Contrary to your thoughts, it is those in power who can put our beloved country in fire as the picture above depicts. Basically, we are saying NO to all attempts which will bring our country to such a situation. We are ready to defend the country at any cost
we nae c unyamaze!wa2 wanatafuta nafuu ya maisha unadhani itakuja kama mkate kwenye sahani?
Innocent Peoples lost their lives because of being brain washed by their leaders to go and "demon"strate, they were told nothing will happen its a peaceful march, peaceful march while the police has already banned the "demon"stration?
Mpaka Chadema itavyofata amri za Serikali, wanapoambiwa "msifanye maandamano" wasifanye.