Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Wadau mi nimekosa majibu naomba mnipe mawazo.Kumbuka ukiwa na mipesa mingi presha na mawazo yanakuwa juu,hapa furaha hakuna.Utakuwa na mke/mume mzuri lakini kilasiku ni matusi au ngumi na mateke yaani kwa kifupi ni kuwa huna amani wala furaha ya maisha.Ukiwa maskini ndio kabisa kwa kuwa kila nukta unawaza namna utapata fedha za matibabu,chakula, mavazi na malazi bora.Je, inawezekana kuwa na mawazo kisha ukawa na furaha? Je,ni nini kinacholeta furaha?