Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Mwaka ndo huo unaisha,
mapenzi yamekufanyia nini?
1.umeumizwa mara ngapi?
2.Umetumia sh ngapi kuhonga na kuwanunulia zawadi mademu,
3.umetumia sh ngapi kila ulipotoka out na demu sometime demu huja na rafiki zake,
4.umetumia sh ngapi kununua vocha ili umpigie demu na wakati mwingine kumtumia vocha,
5.umetumia sh ngapi kupendezesha demu huku ukijua kuna watu wanakumegea!
6.umetumia sh ngapi kama nauli ili kumfuata demu au yeye kuja kwako,
7.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu,
8.umetumia sh ngapi kuwatolea mimba mademu ambao hukutaka kuzaa nao,
9.umetumia sh ngapi kuwalipa makuwadi,
Angalia viwalo vyako ni vikuukuu,
kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde!
Jipange upya mwakani usirudie makosa..,happy new year!
mapenzi yamekufanyia nini?
1.umeumizwa mara ngapi?
2.Umetumia sh ngapi kuhonga na kuwanunulia zawadi mademu,
3.umetumia sh ngapi kila ulipotoka out na demu sometime demu huja na rafiki zake,
4.umetumia sh ngapi kununua vocha ili umpigie demu na wakati mwingine kumtumia vocha,
5.umetumia sh ngapi kupendezesha demu huku ukijua kuna watu wanakumegea!
6.umetumia sh ngapi kama nauli ili kumfuata demu au yeye kuja kwako,
7.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu,
8.umetumia sh ngapi kuwatolea mimba mademu ambao hukutaka kuzaa nao,
9.umetumia sh ngapi kuwalipa makuwadi,
Angalia viwalo vyako ni vikuukuu,
kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde!
Jipange upya mwakani usirudie makosa..,happy new year!