Funga mwaka...!

Fundifundisho

Member
Jan 11, 2011
77
18
Mwaka ndo huo unaisha,
je umejiuliza mapenzi yamekufanyia nini?
1.umetumia sh ngapi ukiwa baa na mademu ?
2.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu,
3.umetumia sh ngapi kununua vocha ili kuwapigia simu madem na wakti mwingine kumtumia demu vocha,
4.umetumia sh ngapi kutolea mimba kwa wasichana usiotaka kuzaa nao,
5.umetumia sh ngapi nauli za daladala kumfuata demu au demu akija kwako,
6.umetumia sh ngapi kuwanunulia vijizawadi mademu pamoja na kuwahonga,
7.Angalia viwalo vyako ni vikuu kuu, kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde!
Naongea na wewe kijana jipange upya next year usirudie makosa...,
heri ya X mass na mwaka mpya wana Jf.
 
Hakuna hata moja linalonihusu hapo,mbona hujawauliza wadada waliofanya hayo?
 
Hatariiiiiiii...maana kuna wengine wana madeni saa hizi utakuta vyote hivyo kavifanya na gharama kibao,kaweka kitanda chake bondi na analala chini...balaaa!!
 
Hakuna hata moja linalonihusu hapo,mbona hujawauliza wadada waliofanya hayo?
Yaani sexism ilio tawala humu JF ni kwamba members ni wanaume, wanawake ni exception. haya bwana...
 
Hiyo ya ku spend fedha kwenye baa/ clubs tuyaache tu..
Kuhusu mapenzi sijahangaika nayo kabisa mwaka huu 2011.
maybe, just maybe 2012. Nimefurahia sana maisha ya kuwa nilivyo.. :poa
 
Kwa maana hiyo wanawake hawastahili kufanya kazi iwapo hayo yoote yanatekelezwaga.
 
Sijutii lolote lililonipata mwaka huu kuhusiana na mapenzi kwa sababu yote niliyafanya kwa kujua faida na hasara zake kabla ya kuamua kufanya.
 
tumia pesa ikuzoee, jiulize kama umetumia kisawasawa si unajua hasara roho pesa makaratasi
 
Kwa ukweli kabisa na upole kwa mwaka 2011 matumizi yangu ni kama ifuatavyo:

1.dagaa sh 60000
2.maharage sh.40000
3.nyama sh 5000
4.sembe sh 45000
5.mchele sh 3000
6.mchicha sh 55000
7.soda sh 0
8.juice sh 0
9.pombe sh.500,000
10.matunda sh.0 kwa sababu sijawahi kuugua
11. Ngono sh.700000
12. Maji sh. 0 kwasababu huku kwetu tunatumia ya mtoni

Nawasilisha.
 
Kwa ukweli kabisa na upole kwa mwaka 2011 matumizi yangu ni kama ifuatavyo:

1.dagaa sh 60000
2.maharage sh.40000
3.nyama sh 5000
4.sembe sh 45000
5.mchele sh 3000
6.mchicha sh 55000
7.soda sh 0
8.juice sh 0
9.pombe sh.500,000
10.matunda sh.0 kwa sababu sijawahi kuugua
11. Ngono sh.700000
12. Maji sh. 0 kwasababu huku kwetu tunatumia ya mtoni

Nawasilisha.
Hii ni bajeti ya mwaka au mwezi?
 
Kwa ukweli kabisa na upole kwa mwaka 2011 matumizi yangu ni kama ifuatavyo:

1.dagaa sh 60000
2.maharage sh.40000
3.nyama sh 5000
4.sembe sh 45000
5.mchele sh 3000
6.mchicha sh 55000
7.soda sh 0
8.juice sh 0
9.pombe sh.500,000
10.matunda sh.0 kwa sababu sijawahi kuugua
11. Ngono sh.700000
12. Maji sh. 0 kwasababu huku kwetu tunatumia ya mtoni

Nawasilisha.

Utakuwa na damu nyingi wewe...loh! mchicha wa 55,000???!! ulikuwa unautupia na kwenye breakfast nini??!! Halafu matunda 0 mmh...ukosefu wa vitamin C utakuwa unakuhusu...
 
Duh yaani maneno haya kama vile unanifahamu au ndo wewe unayekujaga pale kwemye pub ya mtaani kwentu nakuona bize na ki-simu chako cha mchina nini!!!Manake umesema mule mule ninaponataga na biti...
 
1.umetumia sh ngapi ukiwa baa na mademu ? 562,500/=
2.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu, 820,000/=
3.umetumia sh ngapi kununua vocha nimekuwa niki text sana 4,000/=
4.umetumia sh ngapi kutolea mimba kwa wasichana usiotaka kuzaa nao, 0/=
5.umetumia sh ngapi nauli za daladala kumfuata demu au demu akija kwako, hela ya mafuta 1,200,000/=
6.umetumia sh ngapi kuwanunulia vijizawadi mademu pamoja na kuwahonga, 800,000/=
7.Angalia viwalo vyako ni vikuu kuu, kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde! nimejenga
MWAKA UJAO ITABIDI NIOE TARHE 30 NAENDA KUPIMA NGOMA
 
Haya siyo makosa bali ni matumizi ya kawaida.....other charges hata serikalini zipo na zinalo fungu la kutosha
 
Kwa ukweli kabisa na upole kwa mwaka 2011 matumizi yangu ni kama ifuatavyo:

1.dagaa sh 60000
2.maharage sh.40000
3.nyama sh 5000
4.sembe sh 45000
5.mchele sh 3000
6.mchicha sh 55000
7.soda sh 0
8.juice sh 0
9.pombe sh.500,000
10.matunda sh.0 kwa sababu sijawahi kuugua
11. Ngono sh.700000
12. Maji sh. 0 kwasababu huku kwetu tunatumia ya mtoni

Nawasilisha.

Mkuu samahani nilikua najaribu kutamka jina lako na huku nilikua nimekula kisheti kiko mdomoni si kimedondoka! Umentiaje hasara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom