Fundi mzuri wa Mark X napata wapi?

Job sanga

Member
Apr 3, 2019
60
69
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.

Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
 
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa mda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena mda huo hio mpk usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Tatizo dogo sana mkuu nenda kwa fundi umeme wa magari nenda na jibu moja tu mwanbie fundi Armicher/ amicha ya stater ya gari yako imekufa sasa utaamua ww mwenyewe kufunga mpya au kununua starter mpya shida ni huyo tu mkuu means amicha ikipata moto injini lile joto linafanya itanuke pia badili na starter brush. Utakuja nishukuru kwa mrejesho
 
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.

Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Fundi wa IST ndo huyo huyo wa Mark X
 
Tatizo dogo sana mkuu nenda kwa fundi umeme wa magari nenda na jibu moja tu mwanbie fundi Armicher/ amicha ya stater ya gari yako imekufa sasa utaamua ww mwenyewe kufunga mpya au kununua starter mpya shida ni huyo tu mkuu means amicha ikipata moto injini lile joto linafanya itanuke pia badili na starter brush. Utakuja nishukuru kwa mrejesho
Mmoja kati ya mafundi ashabadilisha starter complete mbili. Ila tatzo linarudi tena
 
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.

Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Issue ya power steering ni common sana kwenye hizi gari. Je inakuwashia taa ya P/S kwenye dashboard? Na taa ya check engine inawaka au vp?

Kama upo dar nitumie namba zako PM nikutafute turekebishe hio shida ila kama upo mikoani tafuta fundi mzuri wa umeme magari na diagnosis, ukihangaika na fundi mechanics hautotatuliwa hilo tatizo.
 
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.

Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Umejaribu kutumia computer majibu yakawqje?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom