Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.