Kama hoja za Mh. Mbowe ambazo huwa ni nyepesi sana zinaweza kulitikisa bunge, basi hili bunge linatakiwa kutokuwepo kabisa.
He's just there kama kiongozi wa upinzani bungeni by default
pinda ndio kidume pekee aliyetoa hotuba ya kulitingisha taifa jana
Huko zipeleke wewe, mimi za kwangu zinabaki hapa hapa.Peleka salamu Lumumba walikokutuma
Duh! Haya anayo ongea
mbowe angekuwa angekuwa nje ya bunge kuna wajinga wangesema ni
uchochezi.
hivi mbowe ni jembe ama sururu?
Amemchapa dongo la uso Mwigulu Nchemba. Amesema "anayewasiliana na magaidi naye ni gaidi"
Duh! Haya anayo ongea mbowe angekuwa angekuwa nje ya bunge kuna wajinga wangesema ni uchochezi.
Hotuba moto imemfanya Lukuvi Anakaa kwenye kiti kama kina misumari
Amemchapa dongo la uso Mwigulu Nchemba. Amesema "anayewasiliana na magaidi naye ni gaidi"
hii quote yaweza kutusaidia sana watzAmemchapa dongo la uso Mwigulu Nchemba. Amesema "anayewasiliana na magaidi naye ni gaidi"
kamponda waziri mkuu, kwa kushindwa kuwawajibisha mawaziri, kasema serikali ni dhaifu....ijnaunda tume ni nini isichokijua kwenye issue ya elimu?
Hotuba moto imemfanya Lukuvi Anakaa kwenye kiti kama kina misumari