Mtoto wa Mkulima ame come through. LOL!
Eti wanasema wanaipendezesha. Nauliza wanaipendezesha kwa ajili ya nani? Mnataka kupambana na jamii kwa kuwa imeamka na haiko tayari kukubali hilo, nyie watu wa Kinondoni hamna la kufanya? ...
Hiyo ni Beach, iacheni hivyo hivyo, tafuteni mabeach mengine kama vile Rufiji mkajenge.
Kila mwaka zitolewe sh bilioni 10 kwa ajili ya mkoa huu, sh bilioni tatu kwa ajili ya kukarabati mifereji na sh bilioni sita kwa ajili ya kufungua barabara kama ile ya Mabibo, Mburahati hadi Kigogo, ili kupunguza msongamano, alisema Pinda.
[
Hii hatua nzuri lakini mimi nina wasi wasiwasi na wanasiasa kuingilia maamuzi ya manispaa au wilaya kufanya maamuzi yao
Surely wilaya ya Kinondoni wanao jopo la wanamazingira, jamaa wa planning permission,jamaa wa mipango miji na bila kusahau watu wa city council..pamoja na raia wa kawaida ambao wanaweza hujadili mambo haya kabla ya kufanyika maamuzi
sasa naona hapa Pinda anapata credit za bure wakati hii ilikuwa ni straight forward case...
kinachonitisha kama kesho kutakuwa na jambo la muhimu zaidi wanasiasa wakaingilia tutasemaje?
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amepiga marufuku uamuzi wa Manispaa ya Kinondoni kuuza kwa mfanyabiashara mmoja maarufu eneo la ufukwe la Coco Beach.
Pinda alitoa agizo hilo jana wakati akizungumza na madiwani wa Dar es Salaam katika Ukumbi wa Karimjee, ikiwa ni miezi kadhaa baada ya habari kuhusu uamuzi huo unaoonekana kupigwa danadana na kufanywa kwa siri kuvuja na kuandikwa katika vyombo vya habari.
Alisema Jiji la Dar es Salaam limekumbwa na tatizo la migogoro ya viwanja ambalo kimsingi limesababisha kuibuka kwa manunguniko ya watu kila mara.
Tatizo la migogoro ya viwanja Dar es Salaam ni kubwa, siku za karibuni tumesikia uuzwaji wa Coco Beach uliofanywa na Manispaa ya Kinondoni. Tumeanza kusikia minongono katika hiyo beach. Huyo anayejenga mwambieni ajenge, kwa kuwa kila atakapojenga watu watabomoa.
Eti wanasema wanaipendezesha. Nauliza wanaipendezesha kwa ajili ya nani? Mnataka kupambana na jamii kwa kuwa imeamka na haiko tayari kukubali hilo, nyie watu wa Kinondoni hamna la kufanya? alihoji Waziri Pinda na kuongeza: Hiyo ni Beach, iacheni hivyo hivyo, tafuteni mabeach mengine kama vile Rufiji mkajenge. Alisema kutokana na umuhimu wa Dar es Salaam na dhamira ya serikali ya kutaka ionekane kuwa ni kioo cha nchi, katika mwaka ujao wa fedha serikali imetenga sh bilioni 10 kwa ajili ya kuboresha miundombinu.
Kwa nafasi ya Jiji la Dar es Salaam, lazima tufike mahali tuishawishi serikali, ili kuwekwe mfumo wa kuiangalia kwa jicho la tofauti na miaka mingine.
Kila mwaka zitolewe sh bilioni 10 kwa ajili ya mkoa huu, sh bilioni tatu kwa ajili ya kukarabati mifereji na sh bilioni sita kwa ajili ya kufungua barabara kama ile ya Mabibo, Mburahati hadi Kigogo, ili kupunguza msongamano, alisema Pinda.
Aliongeza kuwa, Dar es Salaam ndiyo kioo cha taifa, kwa kuwa ndiyo makao makuu ambapo kuna bandari, uwanja wa ndege wa kimataifa na pia ndiyo chanzo cha treni ya kwenda maeneo mbalimbali nchini.
Katika maelezo yake, Waziri Mkuu alitoa agizo la kuhakikisha wamachinga wote waliopo katika maeneo yasiyoruhusiwa wanaondolewa na kuwekwa katika maeneo yaliyotengwa kwa kazi hiyo.
Chonde chonde Mkuu wa Mkoa, lazima tujitahidi tuwe na nidhamu. Hawa wamachinga wanatakiwa wawe katika maeneo waliyotengewa, kwani nimeona hali ya wamachinga imeaanza kurudi. Tusiwaruhusu wakarudi barabarani, alisema Pinda.
Pia alisisitiza suala la usafi katika Mkoa wa Dar es Salaam, na kumtaka kila mwananchi katika mtaa wake kujitahidi kuboresha usafi, kwani uchafu unachangia kuzorotesha manispaa kuweza kutoa huduma bora.
Alizitaka manispaa kuvuta kamba ili kuhakikisha suala la kukusanya uchafu linafanywa kwa umakini.
Pia aliagiza manispaa kuzingatia utoaji wa leseni za muziki na vileo kwa watu ambao hawajapewa, na kuwaonya wenye leseni wazingatie taratibu na sheria za leseni walizopatiwa.
juu
Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 10 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
Hapo Pindisha kula tano, ila tu isiwe ni mbio za sakafuni na jeuri/nguvu ya soda. Maana hamkawii kupindisha
na kukuz , singapore, - 29.05.08 @ 10:01 | #13918
Kwanza kabisa nakupa pongezi Mh. Pinda kwa kuzuia uuzwaji wa Coco Beach. jambo lingine ni kuhusu Jiji la DSM, tatizo kubwa Viongozi wenye dhamana ya kusimamia Jiji hili ni kutokuwa na Vision ya namna gani Jiji hili linapaswa kuwa, na ndio utaona wakati zinafanyika jitihada za kuliboresha bado kuna mambo ya hovyo yanazuka siku hata siku kwa mfano bado ujenzi holela unaendelea kufanyika sio tu pembezoni mwa Jiji hata katikati ya jiji pia.Na huku uswahilini Sheria hazizingatiwi kabisa kwa mfano wenye hizo zinazoitwa Bar (kwa hakika ni Groceries) wanapiga muziki kwa sauti kubwa kabisa kiasi kwamba kunakuwa hakuna kabisa utulivu na wenye dhamana hawachukui hatua yoyote.
na A.S. Mbweni, DSM, - 29.05.08 @ 10:27 | #14021
Hapo Mh.Pinda afadhali umesema ukweli hakuna kuuza na tena akijenga bomoa kama masaki na hakuna fidia. Ili waelewe serikali ina mkono mrefu.
Hapa naendelea kuunga mkono kauli ya Mh. Mkono kwamba haya mambo ya kuuza viwanja mara mbili au maeneo ya wazi wanasambabishwa na elimu mbovu inayoeleta mtazamo finyu juu ya mipango miji. Wataalum wetu je huo sio wakati wakupanua Bunju ,Boko, Mbagala na kigamboni hapo city pabaki hivyo ukiweka usafiri mzuri tena wa usalama wa kufika Bunju na Boko kupitia kwenye bahari na huku kigamboni ukaweka Daraja unafikiri kuna mtu ataagalia hako kacity kwa mtazamo finyu. Hebu tafuteni miradi mkubwa ya kupanua jiji tuacha kuinga wote mjini kwa wakati mmoja na kutoka kwa wakati moja. Kazi kwenu watu wa mipango miji kama kweli mlisoma au kuchugulia mithani pale Ardhi Institute.
na linambasha, Hongkong, - 29.05.08 @ 10:38 | #14026
HIVI NA SWALA LA ROSE GARDEN LIMEISHIA WAPI WAKATI ILE BAR INAJULIKANA KABISA HATA NA MTOTO MDOGO KABISA IKO KATIKA ENEO LA BARABARA????MADIWANI MANFANYA NINI NA MKUU WA MKOA MPO AU MLEWESHWA NA BIA ZA ROSE GARDEN MNASHINDWA KUFATA SHERIA YA MIPANGO MJI??????????????****** ZENU
na munir, dar, - 29.05.08 @ 08:07 | #14036
Nimeshaona kuwa waziri mkuu,amewaona hawa watu wa halmashauri ,niwahuni na ma fi sa di wa haliya juu.Ameamua kiukwe.Na asikomee hapo awafuatilie kuona undai, nilazima watu wa halmashauri wamepewa hongo.Tumechoshwa kusoma taaria za mambo ya halmashauri ,mara kubomoa mara hamishahamisha.Watu wanaishi kama wako kwa makaburu.Maana hujui halmashauri kesho itaropoka nini.Heko Mh WAZIRI MKUU KWA KUWASAIDIA WNYONGE.
na mtzmwenyeuchungu, tz, - 29.05.08 @ 08:27 | #14044
Andikeni majina yenu halisi ili hoja zenu zifanyiwe kazi! tumielewana akina mtzmwenyeuchungu na wenzako!
na mhariri, tanzania, - 29.05.08 @ 09:08 | #14058
kinachotakiwa humu ni hoja na siyo kujua ni nani kaandika, utawajua watu wote wewe? au unataka kuwafanya nini?
na mwenzake na mtzmwenye uchungu, dar, - 29.05.08 @ 09:34 | #14065
Mhe MIZENGO KAYANZA PINDA kama nilivyosema ni chaguo letu wote mungu
amlinde na na mafisadi na atashinda tu
na mimi nipo nyuma yake
na Daniel mugassa, DAR/Tanzania, - 29.05.08 @ 09:42 | #14069
oooh sawa waandishi wa habari muwe wabunifu katika kutatua matatizo ya miji yetu. asilmia kubwa ya matatizo ya Dar es salaam yanatokana na mfumo mbovu wa utwala wa ardhi.
kinondoni wanaongoza kwa rushwa hasa kitengo cha ardhi. kwa nini waandishi hamjafanya uchambuzi wa haya na kuyaweka bayana. Hebu sasa mufanye hivyo na hapo mtakuwa mmesaidia maeneleo ya jiji
letu.
na emanan, germany, - 29.05.08 @ 09:47 | #14071
Dar es Salaam ni Tanzania hii hii. Maamuzi mazuri na ya haraka kama haya yafanyike sehemu zote kuliko na migogoro kama huu wa Dar.
Tunategemea leo au kesho waziri wetu utatoa tena maamuzi kama haya kuhusiana na uwanja wa Nyamagana kule Mwanza. Wananchi hawataki uuzwe na wana sababu nzuri tu wameshazisema,viongozi hawataki kusikia. Wanasubiri mpaka damu imwagike ndiyo waje kukubaliana nao!
Viongozi wanawajibika kwa wananchi. Hivi hawa viongozi wa Mwanza wanawajibika kwa nani? Wakome kutuburuza wananchi maana sie ndiyo tumewafikisha hapo walipo.Watusikilize basi na watambue nasi tuna uelewa wa kutosha pengine hata kuwazidi wao.
Viongozi tujifunze kuwasikiliza wananchi hata walio chini!
na Pius - 29.05.08 @ 10:18 | #14080
[
Mwanahalisi Tafadhali, kichwa chako cha habari kinatisha.
kusema kuwa ni "Laana kwa watanzania". duh ni maneno makali mno na yanatisha ndugu yangu, kwani laana si kitu cha mchezo.
nikirudi katika mada:
nikikumbuka jinsi nilivyokuwa nikiburudika katika ufukwe wa coco beach hususan kila weekend, roho inaniuma iwapo zitachukuliwa hatua zozote za kuwafanya wananchi wasiendelee kuburudika bure katika ufukwe ule. kipindi cha sikukuu kama eid na christmass coco beach ni kimbilio la wananchi kupata burudani ya upepo mwanana na pia kuogelea.
kumkodisha mtu ufukwe wa Coco beach ni dhahiri kumpa mtu tiketi ya kujichukulia pesa za bure kwa wale watakao taka kwenda pale kuburudika. kama ni maji ya bahari ni maji ya asili, upepo ni upepo wa asili, mchanga ni mchanga wa asili, sasa iweje mtu apewe haki ya kuvuna pesa za bure kwa kutumia vitu vya asili?. kama ni kujenga mahoteli au huduma yeyote atakayoingiza juhudi na maarifa basi hivyo ndo vinatakiwa kutozwa pesa lakini si ufukwe na maji yake.
mimi ninasema hivi !.iwapo ukodishwaji wa huo ufukwe utasababisha wananchi wasiutumie ufukwe free of charge, basi huyo aliyekodisha ufukwe na mamlaka iliyoukodisha huo ufukwe wakae sawa muda muafaka ukifika tutakwenda mahakamani kudai ufukwe wetu. haiwezekani kupelekwa pelekwa namna hii, hapa niko niko serious!.
Time will tell
3 + 6 = 10 !
Pinda shukran kwa kutetea wananchi, na shukran zaidi kwa kuwapa wawekezaji alternative ya kwenda Rufiji. Wasirukie tu vinavyoelea,wajue vimeundwa.
EYESPY: Not enough done on Coco Beach !
Adam Lusekelo
THIS DAY
Dar es Salaam
...Premier Mizengo Pete Pinda this week ordered an immediate halt on the development of Coco Beach.
...I really am worried by those Kinondoni guys who signed the deal.
...Praise to Braza Pinda for stopping the crime.
haya, juzi wakati wa sherehe za uapndaji miti (sic) Kikwete anazilaumu tena manispaa kwa kushindwa kuendeleza beaches. Kinondoni walipojaribu kufanya hivyo kupitia kwa mwekezaji, Pinda aliwakataza. sasa wafanye nini?