Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Match kama ya leo itusaidie kupandisha wafungaji wetu wafikishe bao nyingi. Huyu kipa wa Mwadui tunamfahamu vizuri sana.
Naomba tutumie nafasi hii kupata ushindi wa kishindo.
===========
21' Goaaal, Yanga wanauweka ubao sawa, Yanga 1-1 Mwadui
28' Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo nje kidogo ya lango la mwadui hata hivyo mpira hauna manufaa
34' Saidoo anaachia mpira matata lakini unagonga mwamba, Yanga 1-1 Mwadui
42' Fei Toto anawekwa chini ndani ya Box la Mwadui, Penalt
43' Kipa wa Mwadui, Mussa Mbise anapangua mkwaju wa Penalt wa Fisto AbdulRazak
45+2' Mpira unaenda mapumziko
59' Kisinda anaingia kuchukua nafasi ya Mwauya
64' Goaaaal, Aneth Revocatus anaachia mkwaju mkali kutoka nje ya 18 na kumuacha Farouk Shikalo akigaagaa
65' Revocaus anapewa kadi ya njano kwa kuvua jezi wakati anashangilia goli
67' Yacuba anaingia kuchukua nafasi ya Fisto AbdulRazak kwa upande wa Yanga
Naomba tutumie nafasi hii kupata ushindi wa kishindo.
===========
21' Goaaal, Yanga wanauweka ubao sawa, Yanga 1-1 Mwadui
28' Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo nje kidogo ya lango la mwadui hata hivyo mpira hauna manufaa
34' Saidoo anaachia mpira matata lakini unagonga mwamba, Yanga 1-1 Mwadui
42' Fei Toto anawekwa chini ndani ya Box la Mwadui, Penalt
43' Kipa wa Mwadui, Mussa Mbise anapangua mkwaju wa Penalt wa Fisto AbdulRazak
45+2' Mpira unaenda mapumziko
59' Kisinda anaingia kuchukua nafasi ya Mwauya
64' Goaaaal, Aneth Revocatus anaachia mkwaju mkali kutoka nje ya 18 na kumuacha Farouk Shikalo akigaagaa
65' Revocaus anapewa kadi ya njano kwa kuvua jezi wakati anashangilia goli
67' Yacuba anaingia kuchukua nafasi ya Fisto AbdulRazak kwa upande wa Yanga