Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 758
Hellow wadau wote wa business forum!
Naamini watu wengi wapenda mafanikio huwa wanajifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa. Ukitaka kufanikiwa ni vizuri kujichanganya na waliofanikiwa na sio wale waliokata tamaa hata za kujaribu. Katika kutafuta mafanikio kila mtu ana mbinu zake, wapo wapenda shortcut na wapo wanaofight kwa nguvu zao.
Watu wengi ni waoga wa kuthubutu, wapo vijana tunajiuliza how/where do we start?, simple answer ni kwamba we have to start where we are. Swali linabaki how?. Naamini Wapo wadau wameanza from zero (hapo namaanisha walikuwa na akili zao tu, nothing else). Nawaomba hao wadau watupe inspiration, naamini wengi tutajifunza from them na roho ya kutojaribu au kukata tamaa haitokuwepo tena. Nakaribisha mawazo yenu, (waweza hata niPM then nitawakilisha mchango wako hapa bila kutaja ID yako).
LET YOUR SUCCESS BE OUR INSPIRATION.
Naamini watu wengi wapenda mafanikio huwa wanajifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa. Ukitaka kufanikiwa ni vizuri kujichanganya na waliofanikiwa na sio wale waliokata tamaa hata za kujaribu. Katika kutafuta mafanikio kila mtu ana mbinu zake, wapo wapenda shortcut na wapo wanaofight kwa nguvu zao.
Watu wengi ni waoga wa kuthubutu, wapo vijana tunajiuliza how/where do we start?, simple answer ni kwamba we have to start where we are. Swali linabaki how?. Naamini Wapo wadau wameanza from zero (hapo namaanisha walikuwa na akili zao tu, nothing else). Nawaomba hao wadau watupe inspiration, naamini wengi tutajifunza from them na roho ya kutojaribu au kukata tamaa haitokuwepo tena. Nakaribisha mawazo yenu, (waweza hata niPM then nitawakilisha mchango wako hapa bila kutaja ID yako).
LET YOUR SUCCESS BE OUR INSPIRATION.