Hivi unataka Rais aonge unavyotaka wewe, JK ni Rais anaongea kama Rais.
wana ARUMERU MPOOO! Muangalieni mkwe.re anavyoongea pumba msifanye kosa kumuongezea mtu mwingine
anaongea kama muimba mipasho au bwabwa
Mil 2 nyumba, gari na mafuta bure halafu na kijakazi nyumba ya gate mbona wengi tu..Hata wa kujitolea wengi sana hasa Canada wanatafuta kazi..Sina maana serikali hawana makosa wanayo tena makubwa zaidi isipokuwa makosa mawili hayawezi kubalidilisha ukweli kwamba pande zote mbili wanazidi kuitokomeza nchi yetu..So,unadhani hao madaktari toka hiyo nchi yenye madaktari wengi watakuja
kulipwa milioni 2 kwa mwezi au ndo watawapa mil20 kwa mwezi?
Nchi ya ajabu sana hii,inabidi iingie kwenye maajabu ya dunia.
Upo ukumbini?
Hitimisho litakuwa kama kipindi kile cha Mgaya!
Namuona mzee wa upako akiwa sambamba na sheikh wa mkoa wa DSM
Yani yule padri aliyewasema Wakwere yani we acha tu, si bora wangetuonyesha magambaz live in Arumeru east
CONCLUSION:
"tunawathamini madaktari, tunawapenda, naomba tuaminiane na tutafanya yaliyo ndani ya uwezo wetu, kazi ya madaktari haifanani na zingine, mgomo wa maDR gharama yake ni maisha ya wa2, mgomo wa wa madereva wa daladala gharama yake ni wa2 kutembea kwa miguu ila watafika wazima.....
'Haya yote wanayodai tunaendelea kuyazungumza na kuyatimiza hatujashindana"
"Tunaheshimu ahadi zetu, tuliyosema tutayatimiza hata kuangalia mahusiano kwenye wizara yawe mazuri"
"Nawashukuru waliokataa kugoma pamoja na vitisho walivyopewa"
"Nawashukuru wananchi kwa utulivu,uvumilivu wao ktk kipindi kigumu cha mgomo"
"Naomba maDr mgomo huu uwe wa MWISHO!"
Serikali tuko tayari kuendelea na mazungumzo,ila tusitiliane sana masharti na wanaozungumza hawagombani!!
Sote tumejifunza ktk matatizo haya na mafunzo tuliyoyapata yatuongoze mbele ya safari
MUNGU IBARIKI TANZANIA, AHSANTENI SANA!
MAKOFI>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
conclusion:
"tunawathamini madaktari, tunawapenda, naomba tuaminiane na tutafanya yaliyo ndani ya uwezo wetu, kazi ya madaktari haifanani na zingine, mgomo wa madr gharama yake ni maisha ya wa2, mgomo wa wa madereva wa daladala gharama yake ni wa2 kutembea kwa miguu ila watafika wazima.....
'haya yote wanayodai tunaendelea kuyazungumza na kuyatimiza hatujashindana"
"tunaheshimu ahadi zetu, tuliyosema tutayatimiza hata kuangalia mahusiano kwenye wizara yawe mazuri"
"nawashukuru waliokataa kugoma pamoja na vitisho walivyopewa"
"nawashukuru wananchi kwa utulivu,uvumilivu wao ktk kipindi kigumu cha mgomo"
"naomba madr mgomo huu uwe wa mwisho!"
serikali tuko tayari kuendelea na mazungumzo,ila tusitiliane sana masharti na wanaozungumza hawagombani!!
Sote tumejifunza ktk matatizo haya na mafunzo tuliyoyapata yatuongoze mbele ya safari
mungu ibariki tanzania, ahsanteni sana!
Makofi>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Duh mkuu kuna neno umetoa hapo juu nadhani unastahili ban! Maoni yangu tu!Mwenyekiti wa wazee wa dar, anasema wazee wamemwona wamemsikia na wamemwelewa. Je wewe umemwelewa?
Taji anamkaribisha Mzee Simba atoe ahukrani. Sinui kama hataongelea uzawa