Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
Na kweli huu ni mwaka wa UHURU. Uhuru wa koundokana na ukiritimba wa madaraka wa CCM. Iweje wahodhi madaraka miaka 49 na badala ya kuendeleza nchi walee tu mafisadi?
Na hawana aibu hata kwenye hotuba zao. Badala ya kuomba msamaha kwa kuzorotesha Elimu, wenyewe wanasema oh, nilikuwa graduation Kenya juzi wakapata PhD watu 100, graduation hapa kwetu PhD moja tu. Huoni ni kosa la utawala wako wa CCM? Unatulaumu sisi?[/QUOTE]
watu wanaoelewa vyema na upeo mkubwa si wakuitetea ccm kwa sasa, hawa watu wameharibu vingi saana hasa huyu mwomba kura wa sasa NASIKIA HATA KAMPENI ZAKE ALIOMBA MSAADA MAREKANI!!
Na hawana aibu hata kwenye hotuba zao. Badala ya kuomba msamaha kwa kuzorotesha Elimu, wenyewe wanasema oh, nilikuwa graduation Kenya juzi wakapata PhD watu 100, graduation hapa kwetu PhD moja tu. Huoni ni kosa la utawala wako wa CCM? Unatulaumu sisi?[/QUOTE]
watu wanaoelewa vyema na upeo mkubwa si wakuitetea ccm kwa sasa, hawa watu wameharibu vingi saana hasa huyu mwomba kura wa sasa NASIKIA HATA KAMPENI ZAKE ALIOMBA MSAADA MAREKANI!!