Fresh news: Ukweli kuhusu mgomo wa madaktari - part II

Hili litakuwa fundisho kwa serikali DHAIFU kama ya jakaya mrisho na viungo vyake vyote.

2015 Mi naona ni mbali sana!
 
Madai ya madaktari unalinganisha na posho za madiwani? na wameshaambiwa sawa, tuanze bajeti ijayo. Kwani hao madiwani na wao si zinaanza bajeti hiyohiyo ijayo.

Tuondoleeni ujinga nyie madaktari, kama hamjui maumivu ya mgonjwa yanakuwaje, sasa mtayajuwa.
 
Wiki iliyopita nilienda wadi ya "Sewahaji" bale Muhimbili kumuangalia mgonjwa kwa kweli jamani, tuweke unazi na unafiki pembeni, watu wa kada ya Afya wanafanya kazi katika mazingira magumu mmo, mazingira yale niliyoyaona pale kwa kweli ni hatarishi sana. Kama kweli Serikali ingekuwa "SIKIVU", ingewasikiliza hawa ndugu zetu madaktari. Pia, ukienda kwenye taasisi ya ocean road, kwa kweli kama una moyo mwepesi unaweza ukakimbia ukiwaona wagonjwa wa kansa wa pale au unaweza kutapika au kutokula kabisa, lakini madaktari wamekuwa wakiwahudumia kwa miaka yote, tena kwenye hali duni, kwa kweli sasa inawapasa mazingira yao ya kazi yaboreshwe. Naonga mkono mgomo wa madaktari...
 
Madk komaeni tena sana.Kwa nn ninasema hivyo;

soma hapa,

1.serikali yetu imeweka mbele udkiteta zaidi badala ya kutumia hekima kusuluhisha mambo.

2.Kusema hakuna fedha ni uongo 300 bil zilizopo nje /USWISI ni za akina nani...JE ZINGEKUWEPO NCHINI ZINGETEKELEZA MANGAPI?

3.Viongozi hawana uchungu ,wakiugua wanakwenda nje kutibiwa.HAWAJUI kuwa wtz ni wengi zaidi yao hivyo watoe vipao mbele kwa raia kwanza kupitia dks wetu.HII NI DHAMBI KUBWA INAYOSHAMIRISHWA NA DHANA YA WALIO NACHO NA WASIO NACHO....

4.wafanyakazi wa tz fanyeni kazi zenu kwa kujiamini/muwe na umoja katika kudai haki zenu.
Posho za kuwalipa viongozi wengine kama wakuu wa mikoa waliopo dom for nothing wanazipata wapi?...WATZ /WAPIGA KURA HAWANA UMUHIMU KWA HAWA VIONGOZI?

5.Nchi hii hakuna haki mpaka wabananishwe ,tena wanapoona wanafamilia zao/watoto wao ndo waathirika wakubwa,ndo wanasahtuka na kutoa matamko.mfano nenda vyuo vikuu......

6.Haki huinua taifa ,lakini dhambi ni aibu ya watu wote.....dhambi hii ya watz kufa ni ya viongozi wetu kwani siasa kwao ndo silaha yao bila kujua ukweli na hali halisi.Kwa mtini jifunzeni.

7.Ufisadi upo kila kona na kutowasikliza madks ni UFISADI PIA.

8.Haya ndo madhara ya walalahoi wetu bungeni wanaopitisha kila kitu 100% kwa 100%.......bila kujali wapiga kura wao.

9.Nchi hii imeuza siku nyingi.wenye say sasa hivi ni vigogo na watoto wao,kwani pes ndo kila kitu.

10.UDHAIFU wa viongozi wetu ndo umetufisha hapa.Mikataba bomu,kuna nini vichwani mwenu...mmeIWEKA WAPI miungu yenu wakati mnapofanya maamuzi?....

11.rasilimali tulizo nazo mfano madini yangemaliza tatizo la dks kama viongozi wetu wangekuwa na mfumo mzuri /strategic planning .......badala yake USWISI ndo kila kitu....HATUTAFIKA....

12.WAANDISHI WA HABARI WANGEANDIKA KILA KITU KAMA KILIVYO BILA KUPEWA MLUNGULA TANZANIA HII INGEKUWA KAMA JEHANAMU.....VIJIJINI PANATISHA .........

13.DHAMBI KUBWA INAYOLITAFUNA HILI TAIFA NI UDHALIMU,UZIZI NA UASHERATI,DHULUMA NA TAMAA.VIONGOZI TUBUNI TUKOMBOLEWE.

14.Mfalme sulemani aliomba hekima kuwaongoza waisraeli ...Je hekima za viongozi wetu zipo wapi...? kwa nn kila kitu ni malalamiko?,manung'uniko?


......................nina mengi wino umeisha.Nitarudi........
 
FRESH NEWS: UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI -II.


Leo ningependa turudi jamvini kujadili kidogo kuhusu huu mgomo wetu, awali katika sehemu ya kwanza ya mada hii, nilijaribu kuainisha madai yetu, makubaliano na kuacha kwako mwanya wa kufikiri utendaji wa serikali yetu "SIKIVU" ilivyo na inavyofanya hadi sasa (kama hukubahatika kusoma hebu itafute facebook na Jamii forum ili upitishe macho KIDOGO TU ikiwa na thread title UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI)..leo nilifikiri si vibaya tukijadili kuhusu madhara ya mgomo huu.


HALI HALISI HOSPITALINI:


Hospitali ya Taifa Muhimbili, Ocean Road Institute, Temeke, Mwananyamala, Amana, Bugando, Mbeya, KCMC, ST.Francis, Haydom, Dodoma n.k. huku kote hakuna kinachoendelea..madakatari kwa maana ya General practitioner na Specialist, sio Assistant Medical Officer,AMO( KWANI KUNA UTOFAUTI KATI YA NGAZI ZA UDAKTARI KUTOKANA NA KISOMO/ELIMU-nisingependa kwenda katika hili) .. Hii ni TOTAL TOOLS DOWN,(TTD), episode III..

Kama tulivyosema awali hatudai posho, na ongezeko la mishahara tu(hii si priority hata katika madai), ila eti kulingana na majibu ya serikali, tutegemee madai hayo katika next next fiscal year(2013/2014) lakini hebu jiulize
1. Madai ya madaktari yalianza lini?

2. Madiwani waligoma ama kudai mshahara/posho lini??!
3. Priority ya Taifa ni wananchi(kupitia madai ya madaktari) au viongozi(kupitia posho mpya za madiwani zilizotangazwa Bungeni)?
4. Nyongeza ya posho ya madiwani imetokea wapi?? ilipangwa katika bajeti?
5. Viongozi au wananchi hamuoni haya??

SISEMI TUNAHITAJI MISHAHARA YETU ILINGANE NA WABUNGE, MAWAZIRI, WAFANYAKAZI WA TRA, BOT, n.k..LA HASHA!! ILA UNAPODAI MAZINGIRA BORA YA KAZI, NYONGEZA YA MSHAHARA,POSHO NA UNAPEWA MAJIBU YA DHARAU,.. NA WENGINE KAMA VIONGOZI KUJIONGEZEA(during the same period of our claims), HAPO NDIPO COMPARISON INAPOTOKEA, NA KULAZIMISHA TUFANANE NA NYIE!!
Katika hospitali tajwa hapo juu, Wakurugenzi, wakuu wa idara wamekuwa wakifanya vikao na kulipwa 50,000/=TSHS@SIKU toka mgomo kuanza 23.06.2012.., Je, wananchi mnayajua haya? Jiulize kuna idara ngapi katika hospitali hizi? Nani anayetoa pesa hizi? Zitatoka hadi lini? Lengo kuu ni kushawishi, kushurutisha madaktari turudi kazini… !!

VYOMBO VYA HABARI:
Katika "episode" mbili za "series" yetu hii ya Mgomo wa Madaktari, vyombo vya habari vilianza kuripoti kuwa hakuna migomo, hadi pale watu wa HAKI ZA BINADAMU walipoingilia kati!!

Nasikititishwa sana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), kutotoa taarifa halisi wakati watu wanazidi kupoteza maisha, kweli hawaoni? Hawajui au wanapuuzia?

Halafu mnatuita madaktari si wazalendo? KWELI?? Napata shida sana kuelewa inakuwaje watanzania wanaumia na viongozi kutotilia maanani madai yetu, ni kweli uhai wa mtu hauwekwi rehani lakini hatukuingia katika mgomo huu kwa kuweka maisha ya watanzania wenzetu katika mizani, na ndio maana muda wa mazungumzo ulikuwepo na hata kabla ya mgomo, muda wa wiki mbili ulitosha kujipanga, kwamba kama Serikali ikishindwa kutekeleza madai, AU kuonyesha njia mbadala ya kuyatatua basi ijipange kuhudumia wananchi.

Kama leo hii tunaangalia luninga(TV-mfano Mh. W/Afya pale Star TV kukimbia), tunasikiliza redio lakini mambo yanayofanya na serikali ni haya, umekwisha jiuliza ingekuwaje, ama Serikali yetu ingetutendea nini kama tungekuwa hatuwaoni wanachofanya pale Bungeni(Mfano Takwimu za uongo), na kwingineko? Hali hii itaendelea hadi lini? wewe unayesoma utabadilisha mfumo huu lini?


MKAKATI:

Usalama wa taifa wako kila hospitali, swali ni hili
1. Ni usalama wa Taifa au wa chama tawala?
2. Wanatumia pesa ya nani?
3. Last ‘episode" walileta wanajeshi,

KAMA MADAI YA MADAKTARI SI YA MSINGI NA SERIKALI IKO SAHIHI KWANINI WANAJESHI HAWAJATOA HUDUMA KAMA WALIVYOTOA HAPO MWANZO??

KWANINI HAWAKUWA TAYARI HATA WALIPOOMBWA KUFANYA KAZI MNAYYOIITA KAZI YA WITO????


MAKOLIGI (colleague)??
Ni lini wananchi waliingia mkataba na sisi juu ya afya zao??sasa mbona wanatulalamikia na kutushambulia??..nadhani wananchi mnakosea kidogo, dhamana ya afya zenu ni kwa hiyo serikali "sikivu", hivyo lawama, maombi, na hisia zote pelekeni huko….ila sisi kurudi ni hadi pale madai yataposikilizwa, this time si kwenda kazini halafu yafanyiwe kazi? HAPANA..HII IELEWEKE VIZURI..HATUDANGANYIKI… hadi yafanyiwe kazi na kuthibitishwa au njia mbadala.
Najua wanasema when you get in a fight you should dig, two graves but I guess you should not fight with someone who has NOTHING to loose,.. We either overestimated the power of Government's responsibility or They(Government) underestimated our power, and I really doubt of the latter because they KNOW they cant stop us.. you cant stop what you cant catch, because the more they will push us the worse this is going to get…
..Solidarity forever..

Jamani tungekuwa hatuna Rais DHAIFU si tungechukua zile 303Bilion za Uswis tuwape Madaktari na kuboresha mazingira ya hospital??? Anagalia sasa....Madiwani nao wameonezewa....aaaaagh!!
 
Kwa serikali hii ya ma V8, kugoma ni kama kwenda kazini. Ndio tutaumia, tutakufa, lakini lazima tueshimiane. Hamna maana yoyote ya kutoa mkoloni mwekundu na kuingiza mweusi. Kuna watu humu nchini wanadhani wao wana hati miliki ya hii nchi na kuponda maraha, kubembea na kusafiri, kujipangia mishahara. Halafu kuna wale wa wito. hakuna taaluma isio na wito. Ndio maana mwanasiasa asie na wito ni rahisi sana kuwa fisadi. acheni fujo walipeni madaktari, boresheni mazingira ya kutolea huduma za afya. Madaktari, kaza uzi kwelikweli.
 
FRESH NEWS: UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI -II.


Leo ningependa turudi jamvini kujadili kidogo kuhusu huu mgomo wetu, awali katika sehemu ya kwanza ya mada hii, nilijaribu kuainisha madai yetu, makubaliano na kuacha kwako mwanya wa kufikiri utendaji wa serikali yetu "SIKIVU" ilivyo na inavyofanya hadi sasa (kama hukubahatika kusoma hebu itafute facebook na Jamii forum ili upitishe macho KIDOGO TU ikiwa na thread title UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI)..leo nilifikiri si vibaya tukijadili kuhusu madhara ya mgomo huu.


HALI HALISI HOSPITALINI:


Hospitali ya Taifa Muhimbili, Ocean Road Institute, Temeke, Mwananyamala, Amana, Bugando, Mbeya, KCMC, ST.Francis, Haydom, Dodoma n.k. huku kote hakuna kinachoendelea..madakatari kwa maana ya General practitioner na Specialist, sio Assistant Medical Officer,AMO( KWANI KUNA UTOFAUTI KATI YA NGAZI ZA UDAKTARI KUTOKANA NA KISOMO/ELIMU-nisingependa kwenda katika hili) .. Hii ni TOTAL TOOLS DOWN,(TTD), episode III..

Kama tulivyosema awali hatudai posho, na ongezeko la mishahara tu(hii si priority hata katika madai), ila eti kulingana na majibu ya serikali, tutegemee madai hayo katika next next fiscal year(2013/2014) lakini hebu jiulize
1. Madai ya madaktari yalianza lini?

2. Madiwani waligoma ama kudai mshahara/posho lini??!
3. Priority ya Taifa ni wananchi(kupitia madai ya madaktari) au viongozi(kupitia posho mpya za madiwani zilizotangazwa Bungeni)?
4. Nyongeza ya posho ya madiwani imetokea wapi?? ilipangwa katika bajeti?
5. Viongozi au wananchi hamuoni haya??

SISEMI TUNAHITAJI MISHAHARA YETU ILINGANE NA WABUNGE, MAWAZIRI, WAFANYAKAZI WA TRA, BOT, n.k..LA HASHA!! ILA UNAPODAI MAZINGIRA BORA YA KAZI, NYONGEZA YA MSHAHARA,POSHO NA UNAPEWA MAJIBU YA DHARAU,.. NA WENGINE KAMA VIONGOZI KUJIONGEZEA(during the same period of our claims), HAPO NDIPO COMPARISON INAPOTOKEA, NA KULAZIMISHA TUFANANE NA NYIE!!
Katika hospitali tajwa hapo juu, Wakurugenzi, wakuu wa idara wamekuwa wakifanya vikao na kulipwa 50,000/=TSHS@SIKU toka mgomo kuanza 23.06.2012.., Je, wananchi mnayajua haya? Jiulize kuna idara ngapi katika hospitali hizi? Nani anayetoa pesa hizi? Zitatoka hadi lini? Lengo kuu ni kushawishi, kushurutisha madaktari turudi kazini… !!

VYOMBO VYA HABARI:
Katika "episode" mbili za "series" yetu hii ya Mgomo wa Madaktari, vyombo vya habari vilianza kuripoti kuwa hakuna migomo, hadi pale watu wa HAKI ZA BINADAMU walipoingilia kati!!

Nasikititishwa sana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), kutotoa taarifa halisi wakati watu wanazidi kupoteza maisha, kweli hawaoni? Hawajui au wanapuuzia?

Halafu mnatuita madaktari si wazalendo? KWELI?? Napata shida sana kuelewa inakuwaje watanzania wanaumia na viongozi kutotilia maanani madai yetu, ni kweli uhai wa mtu hauwekwi rehani lakini hatukuingia katika mgomo huu kwa kuweka maisha ya watanzania wenzetu katika mizani, na ndio maana muda wa mazungumzo ulikuwepo na hata kabla ya mgomo, muda wa wiki mbili ulitosha kujipanga, kwamba kama Serikali ikishindwa kutekeleza madai, AU kuonyesha njia mbadala ya kuyatatua basi ijipange kuhudumia wananchi.

Kama leo hii tunaangalia luninga(TV-mfano Mh. W/Afya pale Star TV kukimbia), tunasikiliza redio lakini mambo yanayofanya na serikali ni haya, umekwisha jiuliza ingekuwaje, ama Serikali yetu ingetutendea nini kama tungekuwa hatuwaoni wanachofanya pale Bungeni(Mfano Takwimu za uongo), na kwingineko? Hali hii itaendelea hadi lini? wewe unayesoma utabadilisha mfumo huu lini?


MKAKATI:

Usalama wa taifa wako kila hospitali, swali ni hili
1. Ni usalama wa Taifa au wa chama tawala?
2. Wanatumia pesa ya nani?
3. Last ‘episode" walileta wanajeshi,

KAMA MADAI YA MADAKTARI SI YA MSINGI NA SERIKALI IKO SAHIHI KWANINI WANAJESHI HAWAJATOA HUDUMA KAMA WALIVYOTOA HAPO MWANZO??

KWANINI HAWAKUWA TAYARI HATA WALIPOOMBWA KUFANYA KAZI MNAYYOIITA KAZI YA WITO????


MAKOLIGI (colleague)??
Ni lini wananchi waliingia mkataba na sisi juu ya afya zao??sasa mbona wanatulalamikia na kutushambulia??..nadhani wananchi mnakosea kidogo, dhamana ya afya zenu ni kwa hiyo serikali "sikivu", hivyo lawama, maombi, na hisia zote pelekeni huko….ila sisi kurudi ni hadi pale madai yataposikilizwa, this time si kwenda kazini halafu yafanyiwe kazi? HAPANA..HII IELEWEKE VIZURI..HATUDANGANYIKI… hadi yafanyiwe kazi na kuthibitishwa au njia mbadala.
Najua wanasema when you get in a fight you should dig, two graves but I guess you should not fight with someone who has NOTHING to loose,.. We either overestimated the power of Government's responsibility or They(Government) underestimated our power, and I really doubt of the latter because they KNOW they cant stop us.. you cant stop what you cant catch, because the more they will push us the worse this is going to get…
..Solidarity forever..

Angalieni tu wasije wakawa-ulimboka mmoja mmoja mpaka muishe.
 
FRESH NEWS: UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI -II.


Leo ningependa turudi jamvini kujadili kidogo kuhusu huu mgomo wetu, awali katika sehemu ya kwanza ya mada hii, nilijaribu kuainisha madai yetu, makubaliano na kuacha kwako mwanya wa kufikiri utendaji wa serikali yetu “SIKIVU” ilivyo na inavyofanya hadi sasa (kama hukubahatika kusoma hebu itafute facebook na Jamii forum ili upitishe macho KIDOGO TU ikiwa na thread title UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI)..leo nilifikiri si vibaya tukijadili kuhusu madhara ya mgomo huu.


HALI HALISI HOSPITALINI:


Hospitali ya Taifa Muhimbili, Ocean Road Institute, Temeke, Mwananyamala, Amana, Bugando, Mbeya, KCMC, ST.Francis, Haydom, Dodoma n.k. huku kote hakuna kinachoendelea..madakatari kwa maana ya General practitioner na Specialist, sio Assistant Medical Officer,AMO( KWANI KUNA UTOFAUTI KATI YA NGAZI ZA UDAKTARI KUTOKANA NA KISOMO/ELIMU-nisingependa kwenda katika hili) .. Hii ni TOTAL TOOLS DOWN,(TTD), episode III..

Kama tulivyosema awali hatudai posho, na ongezeko la mishahara tu(hii si priority hata katika madai), ila eti kulingana na majibu ya serikali, tutegemee madai hayo katika next next fiscal year(2013/2014) lakini hebu jiulize
1. Madai ya madaktari yalianza lini?

2. Madiwani waligoma ama kudai mshahara/posho lini??!
3. Priority ya Taifa ni wananchi(kupitia madai ya madaktari) au viongozi(kupitia posho mpya za madiwani zilizotangazwa Bungeni)?
4. Nyongeza ya posho ya madiwani imetokea wapi?? ilipangwa katika bajeti?
5. Viongozi au wananchi hamuoni haya??

SISEMI TUNAHITAJI MISHAHARA YETU ILINGANE NA WABUNGE, MAWAZIRI, WAFANYAKAZI WA TRA, BOT, n.k..LA HASHA!! ILA UNAPODAI MAZINGIRA BORA YA KAZI, NYONGEZA YA MSHAHARA,POSHO NA UNAPEWA MAJIBU YA DHARAU,.. NA WENGINE KAMA VIONGOZI KUJIONGEZEA(during the same period of our claims), HAPO NDIPO COMPARISON INAPOTOKEA, NA KULAZIMISHA TUFANANE NA NYIE!!
Katika hospitali tajwa hapo juu, Wakurugenzi, wakuu wa idara wamekuwa wakifanya vikao na kulipwa 50,000/=TSHS@SIKU toka mgomo kuanza 23.06.2012.., Je, wananchi mnayajua haya? Jiulize kuna idara ngapi katika hospitali hizi? Nani anayetoa pesa hizi? Zitatoka hadi lini? Lengo kuu ni kushawishi, kushurutisha madaktari turudi kazini… !!

VYOMBO VYA HABARI:
Katika “episode” mbili za “series” yetu hii ya Mgomo wa Madaktari, vyombo vya habari vilianza kuripoti kuwa hakuna migomo, hadi pale watu wa HAKI ZA BINADAMU walipoingilia kati!!

Nasikititishwa sana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), kutotoa taarifa halisi wakati watu wanazidi kupoteza maisha, kweli hawaoni? Hawajui au wanapuuzia?

Halafu mnatuita madaktari si wazalendo? KWELI?? Napata shida sana kuelewa inakuwaje watanzania wanaumia na viongozi kutotilia maanani madai yetu, ni kweli uhai wa mtu hauwekwi rehani lakini hatukuingia katika mgomo huu kwa kuweka maisha ya watanzania wenzetu katika mizani, na ndio maana muda wa mazungumzo ulikuwepo na hata kabla ya mgomo, muda wa wiki mbili ulitosha kujipanga, kwamba kama Serikali ikishindwa kutekeleza madai, AU kuonyesha njia mbadala ya kuyatatua basi ijipange kuhudumia wananchi.

Kama leo hii tunaangalia luninga(TV-mfano Mh. W/Afya pale Star TV kukimbia), tunasikiliza redio lakini mambo yanayofanya na serikali ni haya, umekwisha jiuliza ingekuwaje, ama Serikali yetu ingetutendea nini kama tungekuwa hatuwaoni wanachofanya pale Bungeni(Mfano Takwimu za uongo), na kwingineko? Hali hii itaendelea hadi lini? wewe unayesoma utabadilisha mfumo huu lini?


MKAKATI:

Usalama wa taifa wako kila hospitali, swali ni hili
1. Ni usalama wa Taifa au wa chama tawala?
2. Wanatumia pesa ya nani?
3. Last ‘episode” walileta wanajeshi,

KAMA MADAI YA MADAKTARI SI YA MSINGI NA SERIKALI IKO SAHIHI KWANINI WANAJESHI HAWAJATOA HUDUMA KAMA WALIVYOTOA HAPO MWANZO??

KWANINI HAWAKUWA TAYARI HATA WALIPOOMBWA KUFANYA KAZI MNAYYOIITA KAZI YA WITO????


MAKOLIGI (colleague)??
Ni lini wananchi waliingia mkataba na sisi juu ya afya zao??sasa mbona wanatulalamikia na kutushambulia??..nadhani wananchi mnakosea kidogo, dhamana ya afya zenu ni kwa hiyo serikali “sikivu”, hivyo lawama, maombi, na hisia zote pelekeni huko….ila sisi kurudi ni hadi pale madai yataposikilizwa, this time si kwenda kazini halafu yafanyiwe kazi? HAPANA..HII IELEWEKE VIZURI..HATUDANGANYIKI… hadi yafanyiwe kazi na kuthibitishwa au njia mbadala.
Najua wanasema when you get in a fight you should dig, two graves but I guess you should not fight with someone who has NOTHING to loose,.. We either overestimated the power of Government’s responsibility or They(Government) underestimated our power, and I really doubt of the latter because they KNOW they cant stop us.. you cant stop what you cant catch, because the more they will push us the worse this is going to get…
..Solidarity forever..

Wanakaa wote kwenye kapu moja, haponi mtu!. Wanyonge wanakufa sana kw uzembe wa raia wawili tu hapa tanzania!, natamani sana kutandika mtu viboko! #Nimeisoma hii pia asante!!!!
 
Madai ya madaktari unalinganisha na posho za madiwani? na wameshaambiwa sawa, tuanze bajeti ijayo. Kwani hao madiwani na wao si zinaanza bajeti hiyohiyo ijayo.

Tuondoleeni ujinga nyie madaktari, kama hamjui maumivu ya mgonjwa yanakuwaje, sasa mtayajuwa.

Tumekuelewa naona mmeanza kwa kumgonjesha Dr. Ulimboka ili naye aonje maumivu ya wagonjwa wengine.
 
Tume ya katiba ya Warioba wanalipwa Billion 10 kwa mwaka. Hiyo hela wameweza kuiweka kwenye bajeti. Leo hii hao akina warioba na wengineo ambao walishastaafu lakini wanakula billion 10? hizo hela si zingepelekwa kwenye hospital zetu zikaboresha huduma za afya...aisee mi ninawaunga mkono asilimia 100. Nitakua naenda kanisani kila siku nimuombe Mungu nisije nikaumwa maana itakua soo lakini ninawasupport endeleeni kudai haki zenu mpaka kieleweke...hao usalama wa taifa wanafanya nini huko hospitali? wamekuja kutibu wagonjwa au? they can destroy you physically but they cant destroy your spirit.
 
Mgomo=tukio la kugoma, goma=sita/kaidi kufanya jambo unalopaswa kufanya bila ya kulazimishwa au kushurutishwa.

Madhara/athari za mgomo wa madaktari ni dhahiri kwa taifa letu. Namshauri mh.spika na bunge lote, kusitisha mara moja shughuli zao za kawaida na kujadili hatua za haraka kumaliza mgogoro baina ya madaktari na serikali 'sikivu' ya CCM.
 
Tumekuelewa naona mmeanza kwa kumgonjesha Dr. Ulimboka ili naye aonje maumivu ya wagonjwa wengine.

Jana nilisema humuhumu JF hao dawa yao ni kula kichapo cha vibaka. Wananchi wana hasira ya kupoteza watoto zao mahospitali, wake zao wankwenda kujifunguwa wanaachwa wanahangaika na uchungu, wagonjwa wanakufa kwa kuwa tu madaktari wamegoma. Hao ilikuwa hukumu yao ni firing squad tu.
 
  1. Je Daktari akigoma na nani anayeathirika zaidi?
  2. Katika kufikia malengo (pursuing for goals) binadamu anakuwa anaongozwa na nguvu au mategemeo fulani,je mlioamua ku pursue for medical field mlikuwa mnaongozwa na mtizamo gani?
  3. Inawezekana hesabu ikawa hivi,tugome,wananchi wafe,wananchi waichukie serikali na kisha serikali ianguke ni ije serikali nyingine.Ni nani ana uhakika kuwa wananch wetu (walio wengi)wataungana na Madaktari kuiangusha serikali?
  4. Tumeshuhudia zyama venye sera nzuri vikikosa uongozi kwa kuwa walio wengi hawakuvipigia kura.

Naungana nanyi katika madai yenu lakini SI KATIKA MGOMO, kuacha watu wafe kwa mtu aliyesomea fani ya kuokoa maisha ni jambo ambalo mwisho wa siku halitamtofautisha na Al qaida anayelipua soko ili kumuua Mmarekani mmoja.
Serikali imetetemeka basi rudini katika mazungumzo na rudini kazini,TUTAWAONA ni waungwa zaidi.


Hii serikali haina mbadala zaidin ya kugoma, mwongozo kautoa katika mada yenyewe kua kulikua na 2wiks za kujadili suala hili. Na baada ya kuona hakuna matumaini ndio mgomo ulipokuja jitokeza. Jiulize kwa nini serikali haikufanyia kazi mapungufu ilihali kulikua na mgomo kabla ya huu unaoendelea?

Kuhusu kusomea kada hii ya udaktari na si nyingine naomba nikujibu swali kwa mfano. Siku zote kila binadamu ana uwezo mkubwa wa kufanya kitu fulani zaidi ya kingine, madaktari ni THE MOST SELF TRUSTING PERSONS IN THIS WORD, kwa kua waliamini kufuata kile kilichoko mioyoni mwao (Udaktari). Fuatilia maisha yao utagundua kua hua wana tabia zinazofanana hasa katika ukuaji wao. Huyu ungemlazimisha kua Engineer leo jengo lingedondoka kwa upepo wa bahari tu.

Hata hivyo mkataba wa madaktari ni baina yao na Serikali na terms ni kuwatibu watanzania. Sisi wananchi tuna mkataba na Serikali sio madaktari hata kidogo. Nadhani watu wa LAW wanaweza chambua. We are not among two parties to the Contract, but Third parties. "Quid pro Quo" kwamba nothing goes for nothing, hapo ndipo swala la CONSIDERATION linapoingia na ndio madai ya madaktari. And this consideration should be equitable to make the CONTRACT viable.

Serikali inataka kutumia mabavu kuwanyamazisha madaktari (Intimidation) kama upande wa pili wa mkataba huu.

NATOA WITO KWA WATANZANIA WENZANGU KUUNGA MKONO MGOMO HUU ILI MADAKTARI WAJALIWE KAMA NCHI NYINGINE. Najua kuna maisha yatapotea ya wapendwa wetu, lakini mapinduzi ya amani kwa kutekeleza madai ya madaktari serikali HAISIKII............
 
Kuna tatizo moja kubwa kwenye hoja zinazojengwa na Ellyjr8. Kuongelea nyongeza ya posho ya madiwani hakusaidii sana katika kujenga hoja ya matatizo ya msingi ya madaktari yaliyosababisha mgomo. Sana sana kunawafanya muonekane kuwa wanasiasa ndani ya majoho ya madaktari. Mimi nashauri mngejielekeza zaidi kwenye hoja za msingi zinazowasababisha kugoma kama mazingira duni na hatarishi kwa afya zenu, ukosefu wa vifaa vya kufanyia kazi, malipo duni etc. Muhimu zaidi ni kujibu hoja za serikali kuwa fani yenu kisheria hairuhusiwi kugoma, wameshafanyia kazi zaidi ya nusu ya madai mliyoyatoa awali na kuwa mengine ama hayatekelezeki mara moja ama yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Vinginevyo mtapata wakati mgumu sana kuushawishi umma wa watanzania wenzenu kuwa mgomo wenu una manufaa kwa taifa hili.
 
"Kama hatuwezi kugawana utajiri wa nchi hii, basi tugawane umasikini" big up doktas.
 
Ninapoandika andika hapa sasa ninao friends of mine 10 specialists wamepata kazi Botswana baada ya serikali sikivu lakini imeziba masikio kuwaambia haitawapandisha vyeo coz kwa sasa hawahitajiki watakapo wahitaji ndo watawapandisha vyeo sasa wameamua kuondoka kwenda wanakowahitaji.
Hawa wamesomeshwa na serikali na kodi za wananchi lakini serikali inasema haiwahitaji. Na sasa serikali imepitisha waraka ambao umesambazwa kwa wakurugenizi nchi nzima kwa lengo la kutowapandisha vyeo watumishi wa kada zote coz serikali imefulia. Sasa shime watanzania tushikamane hatuwezi kuwa ombaomba duniani wakati utajiri tumekalia, serikali inakosa ubunifu wa kuweka vipau mbele vizuri ili tujitegemee. Afu Rais mzima na akili zake anasema hatuwezi kuishi bila misaada kwel!!!!!!!!!! Sasa hii akili au matope? Any way solidarity forever

DO NOT TALK ABOUT THE HELL JK he is worthless to us. Ukitazanma ramani ya AFRICA ni wazi Tanzania ndio yenye migodi inayofanya kazi, yenye maziwa mengi na Bandari, achilia mbali mbuga za wanyama na usisahau Mt. Kilimanjaro.....

The HELL says "Hatuwezi kuishi bila msaada" au sisi ndo tungekua Superpower in AFRICA?
 
Back
Top Bottom