Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,802
- 218,449
- Thread starter
- #21
Shetani hajawahi kumshinda MunguKweli zama zinabadilika, vitu kama hivi vilikuwa vigumu sana kutokea miezi michache iliyopita.
Shetani hajawahi kumshinda MunguKweli zama zinabadilika, vitu kama hivi vilikuwa vigumu sana kutokea miezi michache iliyopita.
Sawa komredi.....
Mashauriano yenyewe yamehusisha pia YALE MANENO YAKE YA tuhuma za UKABILA dhidi yake na watu wa Kaskazini ?!!!!
#TaifaLetuNiMoja
#WanasiasaWaacheMbelekoYaUkabila
jituMbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
jitu halina akili kaabisa Mr Makengeza konyagi kilaza zero DJMbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
Bado naona unyonge... Yuko wapi Kamanda Heche? Wale makamanda wa ukweli mpo wapi?
RIP camanda Alfonce Mawazo
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki !jitu
jitu halina akili kaabisa Mr Makengeza konyagi kilaza zero DJ
jitu
jitu halina akili kaabisa Mr Makengeza konyagi kilaza zero DJ
Mkabila ni yupi - aliyekuwa anafanya mambo kwa upendeleo au yule anayenena kuwa kuna upendoleo?Mbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
Mwamba Mbowe ameingia Bunda Mkoani Mara katika Mkakati unaotikisa wa Operesheni Haki , amelakiwa na maelfu ya wanachama na viongozi wa Chadema wa eneo hilo na baadaye akaongoza kikao cha Kimkakati cha mashauriano.
View attachment 1802937View attachment 1802938View attachment 1802939View attachment 1802940
Kweli zama zinabadilika, vitu kama hivi vilikuwa vigumu sana kutokea miezi michache iliyopita.
Mungu ibariki CHADEMA
Sawa komredi.....
Mashauriano yenyewe yamehusisha pia YALE MANENO YAKE YA tuhuma za UKABILA dhidi yake na watu wa Kaskazini ?!!!!
#TaifaLetuNiMoja
#WanasiasaWaacheMbelekoYaUkabila
Bado naona unyonge... Yuko wapi Kamanda Heche? Wale makamanda wa ukweli mpo wapi?
RIP camanda Alfonce Mawazo
Mkabila sana huyu mwenyekiti wetu Mbowe. Ni mwemyekiti lakini leo nimemdharau sana. Nimeanalyse ile discourse, stylistically anamaanisha chama kianze harakati za kutetea wachaga dhidi ya wasukuma! Sijui wanachama wasukuma walivyoipokea hiyo political discourse ya mwenyekiti! Sijui, naweza andika mengi sana ila itoshe tu kusema kuwa nimeghadhabishwa sana na maneno ya mwenyekiti. Ukabila, uoga na unafiki wa mwenyekiti umemkosesha sifa ya kuwa kiongozi wa taasisi yeyote ya kitaifa. Labda katiba ya chama ibadilishwe itamke bayana kuwa ni chama cha wachaka! Ovyo kabisa.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Matapeli wanakula ruzuku
nyie wachaga na tapeli lenu hilo lenye makengeza mnalitembeza la nn jitu jizi likabila
mimi mkuu, nakipenda chama changu chadema toka moyoni ndani kule kabisa kabisa,, ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽AMEN Mkuu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Naipenda sana Chadema sikujua kama naweza kukipenda chama cha kisiasa kiasi hiki
Wapambanaji kaziniMwamba Mbowe ameingia Bunda Mkoani Mara katika Mkakati unaotikisa wa Operesheni Haki , amelakiwa na maelfu ya wanachama na viongozi wa Chadema wa eneo hilo na baadaye akaongoza kikao cha Kimkakati cha mashauriano.
View attachment 1802937View attachment 1802940
Chadema imeweza kusurvive kwa sababu hiyo tu. Kinapendwa kutoka moyoni la sivyo Mwendazake Jiwe amekiumiza vibaya mno kwa jasho na damumimi mkuu, nakipenda chama changu chadema toka moyoni ndani kule kabisa kabisa,, ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
Mungu ibariki na CCM pia,Mungu ibariki CHADEMA
Tapeli la siasa Tanzania Aka Mr konyagiMwamba wa siasa 🙌
Mkuu ukiachana na ruzuku ya wabunge 19,si kuna yule mmoja?Chadema haipokei ruzuku
Tapeli tumeishalizika na limeishaoza sasaiv huko chattle..lilisema limejenga viwanda 8,000 na kuajiri watu milioni 9Tapeli la siasa Tanzania Aka Mr konyagi