Tetesi: Freeman Mbowe kugombea Urais kupitia CHADEMA 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,162
11,565
Anauzika na kunadika kirahisi sana kwa wananchi na anazungumzwa vizuri sana ndani na nje ya nchi..

Hayupo wa kumshinda kwa mvuto wa kisiasa, uwezo wa kiuchumu na ushawishi katika ujengaji hoja na kujieleza.
Ana mtaji wa uhakika wa kura za wajumbe ndani ya chama chake na wananchi nje ya chama chake.

Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.

Anaaminika pakubwa ndani na nje ya Chama chake zaidi ya mwanachama mwingine yeyote humo chamani.

Ndie pekee mwenye uungwaji mkono mkubwa wa wajumbe wa ndani na nje ya nchi miongoni mwa wanachama wake.

Wapo wengine wenye nia ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea urais katika chama hicho. Yes well and good, ni haki yao, wana uwezo wao na ni viongozi wazuri tu, kasoro yao ni moja tu miongoni mwao wanaungwa mkono na baadhi ya wajumbe diaspora tu na sio mahali pengine popote. Na wengine hawana ushawishi miongoni mwa wajumbe ndani ya chama kabisa.

Kwa ushauri wangu inafaa wasubiri na kujijenga zaidi hasa kwenye kujieleza kwa staha humu nchini.

He can seat and negotiate with others. He can manage and mobilize opposition into one team, voice, mission, vision and win elections easily than anyone in opposition.

Hakuna mwenye uwezo huo zaidi ya muugwana huyu na statesman Freeman A. Mbowe


Mungu Ibariki Tanzania.
 
Mara paap! Sexless kawa rais wa Tanzania kupitia CHAUMA. Mtanikoma.

Kwenye urais wangu yafuatayo yatakuwa ni haramu.
1. Kubet. Bora ukutwe na bangi kuliko betting
2. Saloon. Nitaziifunga zote na itakuwa ni marufuku kujiremba, kujikoroga, na kujibadilisha maumbo kwa vigodoro
3. Baa itakuwa mwisho saa 10 jioni.
4. Muziki itaruhusiwa ya dini tu
 
Anauzika na kunadika kirahisi sana kwa wananchi na anazungumzwa vizuri sana ndani na nje ya nchi..

Hayupo wa kumshinda kwa mvuto wa kisiasa, uwezo wa kiuchumu na ushawishi katika ujengaji hoja na kujieleza.
Ana mtaji wa uhakika wa kura za wajumbe ndani ya chama chake na wananchi nje ya chama chake.

Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.

Anaaminika pakubwa ndani na nje ya Chama chake zaidi ya mwanachama mwingine yeyote humo chamani.

Ndie pekee mwenye uungwaji mkono mkubwa wa wajumbe wa ndani na nje ya nchi miongoni mwa wanachama wake.

Wapo wengine wenye nia ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea urais katika chama hicho. Yes well and good, ni haki yao, wana uwezo wao na ni viongozi wazuri tu, kasoro yao ni moja tu miongoni mwao wanaungwa mkono na baadhi ya wajumbe diaspora tu na sio mahali pengine popote. Na wengine hawana ushawishi miongoni mwa wajumbe ndani ya chama kabisa.

Kwa ushauri wangu inafaa wasubiri na kujijenga zaidi hasa kwenye kujieleza kwa staha humu nchini.

He can seat and negotiate with others. He can manage and mobilize opposition into one team, voice, mission, vision and win elections easily than anyone in opposition.

Hakuna mwenye uwezo huo zaidi ya muugwana huyu na statesman Freeman A. Mbowe


Mungu Ibariki Tanzania.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu ndio anaweza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.
 
Kuelekea uchaguzi mkuu kumpata mgombea mpya ndani ya ccm huwa kuna makundi makundi ya wagombea ndani ya chama chao. Vipi kwa chadema hakuna makundi makundi ya wagombea wanaowania kupitishwa na chama hicho kugombea urais?
 
Back
Top Bottom