Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,337
- 219,693
Taarifa iliyotolewa na Chama Chake hii hapa .
Tumkaribishe na Lucas Mwashamba aambatane na msafara wa mwenyekiti 🤪
Nchi itasimama
Asante kwa taarifa, hii ni ziara muhimu kuonyesha solidarity, Watanzania ni wamoja katika shida na raha, na issues za Kitaifa, misiba, majanga, sherehe za Kitaifa, tunasimama pamoja, tunashikana mikono kusaidiana, kusupportiana na kufarijiana.
Pale kwenye korido za Lumumba atamwachia nani kazi yake ya kuwabebea viongozi briefcase zaoTumkaribishe na Lucas Mwashamba aambatane na msafara wa mwenyekiti
THIS GENTLEMAN IS PATRIOTIC AND STATESMAN. I LIKE HIM
Paul Makonda yuko busy kutafuta mtu wa kumwombea
Aende tu ni haki yake kwa kuwa nae ni raia!
Mbona hujasifia wanaccm walivoenda huko.?Ni jambo jema hata Mungu anapenda , Hongera mwenyekiti .
😂😂😂 Wanakufa viongozi wa nchi na mambo yanaenda kama kawaida sembuse ety Mbowe mtu ambaye hana impact yoyote kwenye nchi kwenda sehemu za majangaNchi itasimama
Ila mwanangu, mimba uliyopewa na Mbowe itafika wakati utajifungua tuu, utake usitake utajifungua tuu
Ntakuwa sikuuona huo uzi ningesifia tuMbona hujasifia wanaccm walivoenda huko.?
Ila kuna watu ni kama vile wana mimba za viongozi wa chama fulani, chama chake kikifanya jambo fulani bc ataifanya hy habari kuwa kubwa lkn chama kingine kikifanya jambo hilo hilo atalaani chama hichoNtakuwa sikuuona huo uzi ningesifia tu
Matusi na Uchawi ndio nguzo ya KapukuIla mwanangu, mimba uliyopewa na Mbowe itafika wakati utajifungua tuu
Ni kama afanyavyo Lucas Mwashamba.Ila kuna watu ni kama vile wana mimba za viongozi wa chama fulani, chama chake kikifanya jambo fulani bc ataifanya hy habari kuwa kubwa lkn chama kingine kikifanya jambo hilo hilo atalaani chama hicho