Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Sure aisee!!!JF raia wamepinda sana
Sure aisee!!!JF raia wamepinda sana
We mbwa wa kike,,hata nusu ya maisha ninayoishi huwezi KAMWE kuyafikia,,,mimi sio mlamba miguu wa mbowe,,I am a free thinker: elimu yangu:exposure yangu na mengineyo kamwe hutoweza hata kugusa mbilikimo wewe;kondomu ya mbowe:
I hate Ufisadi,,and I will shout as loudly as I can,,FREELY
Hilo zee zezeta lenu mbowe aliloliokota ni JIZI; tena JIZI PAPA.
I will loudly shout bila mbilikimo kama wewe kunikwaza:
Mkeo amerudi hapo kigamboni,,si tulikuwa naye hapa posta
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.
Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza
Hapo yupo na MUUZA MADAWA YA KULEVYA(COCAINE;HEROINE) number moja kushoto,,,Wote hao na Kinje wanaombea Mzee aingie ikulu ili wamalize kabisa vijana wa dar es salaam kwa unga( unga ndo ajira ya lowassa kwa watanzania)
Mijitu mijiongo utaijua tu. Uko Scandinavia but ulikua na Mke wa Yericko Posta??We mbwa wa kike,,hata nusu ya maisha ninayoishi huwezi KAMWE kuyafikia,,,mimi sio mlamba miguu wa mbowe,,I am a free thinker: elimu yangu:exposure yangu na mengineyo kamwe hutoweza hata kugusa mbilikimo wewe;kondomu ya mbowe:
I hate Ufisadi,,and I will shout as loudly as I can,,FREELY
Hilo zee zezeta lenu mbowe aliloliokota ni JIZI; tena JIZI PAPA.
I will loudly shout bila mbilikimo kama wewe kunikwaza:
Mkeo amerudi hapo kigamboni,,si tulikuwa naye hapa posta
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.
Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza
Huyu alieleta hii mada hata jiran zake wana kazi nahisi kila siku anawafatilia kujua wamekula nini, wakila kuku atataka kujua pesa ya wamepata wapi. We badala ya kujadili maisha yako na familia yako unaumiza kichwa kujua ya fred yatakusaidia nini.acha ujinga
Hata ukiwa mahiri wa kujibu marefu yenye tija lakini ukichanganya na jibu moja la ovyo na majibu mengine yote mazuri yanakuwa ya ovyo kwa mtindo uleule wa samaki mmoja akioza...Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!. Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.
Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.
Unakabiliwa na tatizo la wivu wa kike wa umasikini wa kuwa na chuki kwa kila mwenye nacho!, sisi wengine ni umasikini tumezoea, tena ni masikini jeuri, kama Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!, hatuna wivu na wenye nacho, ndio maana tumewakaribisha kwetu!, tumeridhika na umasikini wetu ndio maana kila siku tunaendelea kuichagua CCM huku ikituzidishia tuu huu umasikini!, ila tarehe 25 October, tutasema basi!.
Ila na wewe if you can, just get rich or die trying!.
If you can't, I feel sorry for you!, acha wivu!.
Pole!,
Pasco
Hahahaha!Mijitu mijiongo utaijua tu. Uko Scandinavia but ulikua na Mke wa Yericko Posta??
R.I.P Kamanda Mohamedi Mtoi
Hata ukiwa mahiri wa kujibu marefu yenye tija lakini ukichanganya na jibu moja la ovyo na majibu mengine yote mazuri yanakuwa ya ovyo kwa mtindo uleule wa samaki mmoja akioza...
Yaani mtu awe na utajiri wa kutisha ambao hauwezi tolea maelezo yanayojitosheleza unathubutu kumuita mtu ambaye anaona hilo si sawa ana wivu, mburula wewe, mpumba.vu wewe, mlamba viatu wa Lowassa wewe siku zote.
Ni busara ya kawaida tu kuhoji mtumishi wa umma au mtoto wake anapokuwa ana pesa ndefu sana tena ambayo hai'tally na kodi anazolipa. Mpuuzi sana wewe.
Mimi kwangu Lowassa ni fisadi tu kama na wenzake wengine wote walio CCM na very soon itakushangaza kukuta hata mzee wa kubadilishia gia angani ni fisadi wa kutupwa, anayejificha kwenye mihemko ya wananchi na kibwagizo chao cha mabadiliko muda huu.