The Eye
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 278
- 387
Hapana.Afya ya Mpango tangu apigwe na covid-19 nadhani sio ya kutegemea!ya Edo tuyaache kabisa!! LAKINI kwa series za vifo vya viongozi wa umma vilivyotokea Mpango hawezi akategemewa kutuvusha hadi hapo 2035 !!Labda Mwinyi junior ndio mwenye sifa tajwa kuwa intelligent,humble,patriotic etc!! Mkonga mpya wa Taifa wa network kule zenji unambeba Kama sifa tajwa za Tumia akili!!!
Ukikaunti miaka 12.
Si yeye...
Ni Philip Mpango